Miaka 5 tu kajenga mahoteli na uwanja wa ndege kijijini kwake akipewa 10 je si atahamishia na bahari ya hindi kwaoMadaraja yana ufisadi tenda zote wanapewa ndugu jamaa wa mtukufu kuna upendeleo kwenye ulaji wote pesa zinazunguka zinawarudia wenyewe kwa njia haramu na za kishetani