Hii inakuwa imekaaje?

Hii inakuwa imekaaje?

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,348
Reaction score
5,841
Hapo kwa jirani zangu wa Love Connect wanafurahisha sana. Unakutana na uzi wa mdada ni H.I.V postive anatafuta mwenza wa kuendana nae ili wayajenge, matokeo yake unakutana na replay za pole na usijal utapata!

Ila ngoja ifike kesho, unakutana na uzi njemba inatafuta mwenzi ambaye ni H.I.V postive. Inashangaza! Unajiuliza, je, ameshindwa kwenda inbox kwa dada wa jana au uzi ulimpita hakuuona?
 
sahihi lkn mi naona hiki kigezo kikuu kinawatosha we ukishakuwa na h.i.v
huhitajiki kuchagua sna
Mkuu,

Usiwanyanyapae wenye HIV.

Yani kwa vile wana HIV ndiyo wasichague?

Unajua siku hizi HIV watu wanaishi nayo poa tu kwa dawa, lishe na lifestyle/mazoezi ?

Unajua wewe unaweza kufa ukawaacha hao unaowanyanyapaa kuwa wana HIV?
 
Mkuu,

Usiwanyanyapae wenye HIV.

Yani kwa vile wana HIV ndiyo wasichague?

Unajua siku hizi HIV watu wanaishi nayo poa tu kwa dawa, lishe na lifestyle/mazoezi ?

Unajua wewe unaweza kufa ukawaacha hao unaowanyanyapaa kuwa wana HIV?
Nimekuelewa mkuu
 
Hapo kwa jirani zangu wa Love Connect wanafurahisha sana. Unakutana na uzi wa mdada ni H.I.V postive anatafuta mwenza wa kuendana nae ili wayajenge, matokeo yake unakutana na replay za pole na usijal utapata!

Ila ngoja ifike kesho, unakutana na uzi njemba inatafuta mwenzi ambaye ni H.I.V postive. Inashangaza! Unajiuliza, je, ameshindwa kwenda inbox kwa dada wa jana au uzi ulimpita hakuuona?
All is fare in the love and war.
 
Hapo kwa jirani zangu wa Love Connect wanafurahisha sana. Unakutana na uzi wa mdada ni H.I.V postive anatafuta mwenza wa kuendana nae ili wayajenge, matokeo yake unakutana na replay za pole na usijal utapata!

Ila ngoja ifike kesho, unakutana na uzi njemba inatafuta mwenzi ambaye ni H.I.V postive. Inashangaza! Unajiuliza, je, ameshindwa kwenda inbox kwa dada wa jana au uzi ulimpita hakuuona?
Najiulizaga sana hii. Na wote wanataka wafatwe pm. Mtu mwny haja anafata hata wa kwenye comment kubahatisha. Inshort sio watafutaji hawa
 
Najiulizaga sana hii. Na wote wanataka wafatwe pm. Mtu mwny haja anafata hata wa kwenye comment kubahatisha. Inshort sio watafutaji hawa
Na hii ndio maana ya halisi ya uhitaji
 
Mpaka Leo kumbe huvijui hivi viumbe,Huyo manzi matarajio yake atampata mwanaume mzima atakayejitoa Muhanga,na Sio mwathirika mwenzie.Believe me.
Basi ndio maana mkuu mmoja humu ndani mambo yao huwa anawachiaga wenyewe
 
Back
Top Bottom