Hii inamaana gani?

Maisha ya sasa yana demand both parties zichangie uchumi, wanacho ficha kwenye ujumbe ni mwanaume au mwanamke ambae analeta chochote. Sio wa kukaa ndani

But you have a point, kama hujampenda you wont get anywhere
 
Nimekuelewa Maua.



KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Maisha ya sasa yana demand both parties zichangie uchumi, wanacho ficha kwenye ujumbe ni mwanaume au mwanamke ambae analeta chochote. Sio wa kukaa ndani

But you have a point, kama hujampenda you wont get anywhere
Sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…