Hii inaonekana vipi katika hali ya kiroho?

Hii inaonekana vipi katika hali ya kiroho?

kuna wale wanaona hii naweza ifanya dekio, je nayo imekaaje kudekia nguo yako iloisha kuna namna fulani unakuwa unajirudisha nyuma kiroho? inafaa kufanya hivo?

Kuna mtu amenipa kitu kipya leo nikaona nije niulize wajuzi.
Nguo yako mtu akiichukua na kuifanya dekio anakufanyia jambo moja baya sana kiroho especially akiwa anadekia kila siku huku ananuwia maneno yake unaweza ukajikuta umegongwa na gari ukazindukia hospital

Elewa kuna ile kudekia kawaida na kudekia kwa kumtakia mtu mabaya hio ni mbaya sana au kuchukua nguo yako chakavu na kuifanya lapulapu la kufutia miguu kila anaekuja analikanyaga tu na kuingia kwako akitoka analikanyaga tena
 
tafuta mtu umpe avae wapo watu mitaani hawana mavazi, ila hakikisha unampa mtu kitu ambacho hakijachoka kiasi kwamba ukipewa wewe utajiskia vibaya, na ikiwa imechoka sana haiwezi kuvaliwa tena choma moto haina shida.
 
Hello!

Naomba kuuliza hii imekaaje kwa wale wanaojua mambo ya spiritual, kuhusu kuchoma nguo ambayo unaona imeisha na huwezi kuigawa solution ni kuchoma, je unaichoma tu moto au kuna manuizi fulani unanuia like mimi na wewe tumemalizana kuanzia leo hatujuani.

kuna wale wanaona hii naweza ifanya dekio, je nayo imekaaje kudekia nguo yako iloisha kuna namna fulani unakuwa unajirudisha nyuma kiroho? inafaa kufanya hivo?

Kuna mtu amenipa kitu kipya leo nikaona nije niulize wajuzi.
Na chupi zikiisha tunafanyeje?
 
Nimechoma sana na mara nyingi huwa nachoma boxer kwa sababu huwa naamini kuziacha tu zinazagaa zagaa ndiyo hatari zaidi.
bas mimi hua naona option pia n kuchoma sasa leo ndio naambiwa et nguo yako inakua imebeba maagano flan na ww kiroho so vile ukiichoma unataka useme kuanzia leo mm na ww tumeachana na tumemalizana, akaenda mbali akasema pia hata ukifagia uwanja wakakusanya uchafu unatakiwa immediately uzoe ukiacha kama unakuku wakaja kuchakura inamaanisha pia riziki unayoitafuta kwa mbinde ukaipata itayawanyika hivohivo halaf n mpita njia tu simjui hanijui.
 
Nguo yako mtu akiichukua na kuifanya dekio anakufanyia jambo moja baya sana kiroho especially akiwa anadekia kila siku huku ananuwia maneno yake unaweza ukajikuta umegongwa na gari ukazindukia hospital

Elewa kuna ile kudekia kawaida na kudekia kwa kumtakia mtu mabaya hio ni mbaya sana au kuchukua nguo yako chakavu na kuifanya lapulapu la kufutia miguu kila anaekuja analikanyaga tu na kuingia kwako akitoka analikanyaga tena
okay so haifai bora tuchome moto kuliko kufanya madekio?
 
bas mimi hua naona option pia n kuchoma sasa leo ndio naambiwa et nguo yako inakua imebeba maagano flan na ww kiroho so vile ukiichoma unataka useme kuanzia leo mm na ww tumeachana na tumemalizana, akaenda mbali akasema pia hata ukifagia uwanja wakakusanya uchafu unatakiwa immediately uzoe ukiacha kama unakuku wakaja kuchakura inamaanisha pia riziki unayoitafuta kwa mbinde ukaipata itayawanyika hivohivo halaf n mpita njia tu simjui hanijui.
Duh hahah mkuu mbona watu wanataka kufanya maisha yawe magumu kiasi hiko?unadhani ktk hali ya kawaida kuna ambaye angetoboa kama kufanya kinyume na hivyo kungekuwa na madhara?

Kutishana tu hamna lolote.
 
haifai kufanya hivo kama utachoma nguo yako iko connected na mambo ya kiroho haswa yako manaa unakua unaivaa hivo ukichona nuia mimi na ww tumeachaa kuanzia leo sasa na kuidekia pia et unajirudisha nyuma
Umesema vyema. Nguo uliyokuwa unaivaa - umefanya mambo mengi sana ukiwa nayo umeivaa hadi imekuwa ni kama "inazifahamu" habari zako, siri zako n.k. kwa maneno mepesi hiyo nguo ni mshirika wako wa kipekee sana. Ni shahidi wa yale yote uliyokuwa unatenda ukiwa umeivaa. Sasa ingekuwa inaongea; wakati unaenda kuichoma moto ingekuuliza " Unaniachaje shoga angu?" Mbona hatuagani mwandani wangu?" Hiyo Scenario haifurahishi.
Halafu kuigeuza kuwa dekio ni sawa na kujidhalilisha/kujikana nafsi yako. Kumbuka nguo hiyo imebeba mambo yako ya siri mengi sana na kuna muunganiko mkubwa sana kati yako wewe na hiyo nguo kwani DNA yako ipo pia kwenye hiyo nguo uliyokuwa unaivaa. ( Si unajua hata ktk upelelezi wa makosa ya jinai e.g. mauaji au wizi wa kuvunja nyumba DNA hutumika kmfuatilia mtuhumiwa?). Sasa wewe kuitumia nguo hiyo yenye DNA yako kama dekio ni sawa na wewe mwenyewe umehiari kujirudisha kutoka hatua ya maendeleo uliyokuwa nayo wakati unaivaa ikiwa nzima (ulitamba nayo)ukajirudisha nyuma kuwa hufai tena (ume-expire) hata maendeleo uliyopata wakati unaivaa hiyo nguo nayo hayafai ni takataka tu - umejirudisha nyuma/umejidhalilisha kimaendeleo/kimafanikio kutoka kiwango cha juu kwenda kiwango cha chini kabisa. Cha msingi hapa ni ww ujue hakika DNA yako ni Unique i.e. ni wewe mwenyewe kwa uhalisia wako na hakuna yeyote hapa duniani anayefanana na ww ki-DNA. Kwa hiyo usijivuruge-vuruge na usijiharibu wewe mwenyewe. Jiheshimu na Ujitukuze mwenyewe.
Ni hayo tu.
 
Duh hahah mkuu mbona watu wanataka kufanya maisha yawe magumu kiasi hiko?unadhani ktk hali ya kawaida kuna ambaye angetoboa kama kufanya kinyume na hivyo kungekuwa na madhara?

Kutishana tu hamna lolote.
unajua nilichofikiri, nisimhukum pengine alitaka nipate elimu ya kitu nisichokijua sasa n mm kukibeba au kukiacha
 
Umesema vyema. Nguo uliyokuwa unaivaa - umefanya mambo mengi sana ukiwa nayo umeivaa hadi imekuwa ni kama "inazifahamu" habari zako, siri zako n.k. kwa maneno mepesi hiyo nguo ni mshirika wako wa kipekee sana. Ni shahidi wa yale yote uliyokuwa unatenda ukiwa umeivaa. Sasa ingekuwa inaongea; wakati unaenda kuichoma moto ingekuuliza " Unaniachaje shoga angu?" Mbona hatuagani mwandani wangu?" Hiyo Scenario haifurahishi.
Halafu kuigeuza kuwa dekio ni sawa na kujidhalilisha/kujikana nafsi yako. Kumbuka nguo hiyo imebeba mambo yako ya siri mengi sana na kuna muunganiko mkubwa sana kati yako wewe na hiyo nguo kwani DNA yako ipo pia kwenye hiyo nguo uliyokuwa unaivaa. ( Si unajua hata ktk upelelezi wa makosa ya jinai e.g. mauaji au wizi wa kuvunja nyumba DNA hutumika kmfuatilia mtuhumiwa?). Sasa wewe kuitumia nguo hiyo yenye DNA yako kama dekio ni sawa na wewe mwenyewe umehiari kujirudisha kutoka hatua ya maendeleo uliyokuwa nayo wakati unaivaa ikiwa nzima (ulitamba nayo)ukajirudisha nyuma kuwa hufai tena (ume-expire) hata maendeleo uliyopata wakati unaivaa hiyo nguo nayo hayafai ni takataka tu - umejirudisha nyuma/umejidhalilisha kimaendeleo/kimafanikio kutoka kiwango cha juu kwenda kiwango cha chini kabisa. Cha msingi hapa ni ww ujue hakika DNA yako ni Unique i.e. ni wewe mwenyewe kwa uhalisia wako na hakuna yeyote hapa duniani anayefanana na ww ki-DNA. Kwa hiyo usijivuruge-vuruge na usijiharibu wewe mwenyewe. Jiheshimu na Ujitukuze mwenyewe.
Ni hayo tu.
oh, awesome 🥰🥰 asante
 
Back
Top Bottom