Hii inauma jameni - Dongo Kundu

Hii inauma jameni - Dongo Kundu

Haja gani uwe na capacity kubwa na traffic ni ujingA?
Most serious Airports traffic immeexceed capacity.

The airport was designed to operate for many years to come. You know it but umejitia ujinga ili mradi ubishane.
 
The airport was designed to operate for many years to come. You know it but umejitia ujinga ili mradi ubishane.
Unamaanisha mashaanza safari za Mumbai na Oliver Tambo 😂😂 😂 chungeni Ndege isikamatwe na mkulima
 
Unamaanisha mashaanza safari za Mumbai na Oliver Tambo 😂😂 😂 chungeni Ndege isikamatwe na mkulima

Mumbai tulianza na safari 3 kwa juma, sasa hivi ni safari 4 kwa juma. Tushapata ndege nyingine ya masafa marefu siku si nyingi tutaanza kwenda Guangzhou.
 
Mumbai tulianza na safari 3 kwa juma, sasa hivi ni safari 4 kwa juma. Tushapata ndege nyingine ya masafa marefu siku si nyingi tutaanza kwenda Guangzhou.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Vituko haviishi. Na South Africa je? 😭😭😭
 
Vituko gani sasa? Huko South wanajua wenyewe kwa nini waliacha kwenda.
 
Niamke kwenye ndoto Ulisikia Mombasa siifahamu au,
Au Unafikiri kila mtu anajifungia kibera.
Wana bodi ni ukweli kwamba serikali na kundi lake wameamua kutudanganya kwamba miradi inaendweshwa kwa fedha za ndani bila hata aibu.

Tunapo sema fedha za ndani tuna maana kwamba ni zile tunazo kusanya kupitia TRA, taasisi za serikali kama TCRA, polisi , mahakama etc.

Wakati mawaziri wa africa na nordic walipotembelea ujenzi wa SGR waziri wa mambo ya nje wa nigeria alisema si vibaya kusema tumejenga kwa mkopo kwa sababu bado ni mradi wenye nia njema kwa nchi na africa kwa ujumla baada ya kusikia tunasema tunajeng kwa fedha za ndani kitu ambacho hata mtoto mdogo hawezi kukubali.

Nirudi kwenye issue ya deni la taifa.

Nimejiuliza sijapata jibu deni hili linakuzwa na ahughli zipi?

Mfano

SGR inagharimu TR 7
Ndege zimeghatimu tr 2
Rufiji nayo kama Tr7

Haya ndio mambo ninayo yajua kwamba yametumia fedha nyingi.

Zingatia pia hakuna mradi ambao umeisha ukiacha ndege.

Ongezeko la tr 20 kwa miaka minne kuna uwalakini sana yamkini tunalishwa maneno ya uongo wakati hata mishahara inalipwa kwa fedha za mikopo kutokana na matumizi mabaya ya fedha.

Kwa nchi maskini kama hii mtu anapata wapi udhubutu wa yeye na mke wake kutembea na viburungutu vya mil tano tano na kugawa na njugu?


Watanzania tutadanganywa hata lini?

Mwenye uelewa zaidi wapi fedha hizi tr 20 zimika atujuze.
 
Wana bodi ni ukweli kwamba serikali na kundi lake wameamua kutudanganya kwamba miradi inaendweshwa kwa fedha za ndani bila hata aibu.

Tunapo sema fedha za ndani tuna maana kwamba ni zile tunazo kusanya kupitia TRA, taasisi za serikali kama TCRA, polisi , mahakama etc.

Wakati mawaziri wa africa na nordic walipotembelea ujenzi wa SGR waziri wa mambo ya nje wa nigeria alisema si vibaya kusema tumejenga kwa mkopo kwa sababu bado ni mradi wenye nia njema kwa nchi na africa kwa ujumla baada ya kusikia tunasema tunajeng kwa fedha za ndani kitu ambacho hata mtoto mdogo hawezi kukubali.

Nirudi kwenye issue ya deni la taifa.

Nimejiuliza sijapata jibu deni hili linakuzwa na ahughli zipi?

Mfano

SGR inagharimu TR 7
Ndege zimeghatimu tr 2
Rufiji nayo kama Tr7

Haya ndio mambo ninayo yajua kwamba yametumia fedha nyingi.

Zingatia pia hakuna mradi ambao umeisha ukiacha ndege.

Ongezeko la tr 20 kwa miaka minne kuna uwalakini sana yamkini tunalishwa maneno ya uongo wakati hata mishahara inalipwa kwa fedha za mikopo kutokana na matumizi mabaya ya fedha.

Kwa nchi maskini kama hii mtu anapata wapi udhubutu wa yeye na mke wake kutembea na viburungutu vya mil tano tano na kugawa na njugu?


Watanzania tutadanganywa hata lini?

Mwenye uelewa zaidi wapi fedha hizi tr 20 zimika atujuze.
Watu wanadanganywa bado wanakata mauno na kuunga juhudi
 
Watu wanadanganywa bado wanakata mauno na kuunga juhudi
Potelea kwa mbali as long as vitu vnaonekana ambavyo vitarudsha hyo trilioni 20 na machenji yakabaki hamna shida kuliko nyie mwenye kenya yake Kenyatta anatafuna nchi kila siku ulaya na Amerika pasipokuwa na faida yyte yn nyie watu miaka mitano ijayo cjui mtakuwa kwny hali gn na nchi mshamuuzia mchina [emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana
 
Potelea kwa mbali as long as vitu vnaonekana ambavyo vitarudsha hyo trilioni 20 na machenji yakabaki hamna shida kuliko nyie mwenye kenya yake Kenyatta anatafuna nchi kila siku ulaya na Amerika pasipokuwa na faida yyte yn nyie watu miaka mitano ijayo cjui mtakuwa kwny hali gn na nchi mshamuuzia mchina [emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana
Tuanze na atcl..imeingiza faida kiasi gani, hatutaki mipasho hapa...
Hyo miradi mingine ngoja ikamilike kwanza, manake mpaka sasa hakuna hata mradi mmoja ambao umekamilika
 
Potelea kwa mbali as long as vitu vnaonekana ambavyo vitarudsha hyo trilioni 20 na machenji yakabaki hamna shida kuliko nyie mwenye kenya yake Kenyatta anatafuna nchi kila siku ulaya na Amerika pasipokuwa na faida yyte yn nyie watu miaka mitano ijayo cjui mtakuwa kwny hali gn na nchi mshamuuzia mchina [emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana

Kwanza hiyo trilioni 20 ni nyumbu kajitungia, haifiki kiasi hicho. BOT wanatoa ripoti za kiuchumi kila mwezi na mtu yeyote anaweza kuzisoma.
 
Kwanza hiyo trilioni 20 ni nyumbu kajitungia, haifiki kiasi hicho. BOT wanatoa ripoti za kiuchumi kila mwezi na mtu yeyote anaweza kuzisoma.
Niliwakubalia hyo hyo trilioni 20 mana najua ata ukiwapa report from BOT watakwambia it is purely from the kitchen yn ni cooked report


Hawa twende nao hv hv wanavyotaka wao

ILA MWAKANI SIO MBALI
 
Unajua kwanini Mombasa ni bandari kubwa pekee Kenya ? Tanzania inaufukwe mpana sana hivyo ni bora kuwa na bandari nyingi za wstani kuliko kuwa na moja to kubwa,hivyo ukitaka kujua ukubwa wa bandari za Tanzania jumlisha bandari zetu zote za baharini
Vijisababu hamkosangi
 
Tumia akili Kwa geography ya Kenya mnastaili kuwa na bandari moja kubwa ila Kwa geography ya Tanzania tunatakiwa tuwe na bandari nyingi za wastani
Lakini hata moja kubwa hamna wakati Kenya tayari iko na mbili kubwa.
 
Back
Top Bottom