Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Kwa sababu ya ugumu wa ajira serikalini na private sector.
Je inawezekana mwanachuo kuwa masomoni huku pembeni akawa anasoma ka ufundi stadi Kama kakujiegeshea kusaka pesa punde anapomaliza chuo huku akiisubir hio ajiri
Kama unafahamu he Ni koz gani ambazo hazi tumii mda mrefu na haziwezi kutumia mda Zaid na shule katika harakati za kuzidi kujiongezea thamani.
Je inawezekana mwanachuo kuwa masomoni huku pembeni akawa anasoma ka ufundi stadi Kama kakujiegeshea kusaka pesa punde anapomaliza chuo huku akiisubir hio ajiri
Kama unafahamu he Ni koz gani ambazo hazi tumii mda mrefu na haziwezi kutumia mda Zaid na shule katika harakati za kuzidi kujiongezea thamani.