THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 743
- 915
Wakuu kuna kamba nzito sana hapa Moshi mjini hadi njiapanda ya Himo. Abiria wamekwama today saa moja jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hii ni kila mwaka, nadhani ndiyo starehe yao, jtatu hutaona mtu huku Moshi.Hata raha yenyewe ya sikukuu imepotea!!!
Wachaga hiyo shida yote ya nini?
Hakuna mchaga zuzu kama weweWachagga ushamba utatuisha lini? Kichwani empty set kwa sifa
Pambana na hali yako erooWachagga ushamba utatuisha lini? Kichwani empty set kwa sifa za kipumbavvvu
Wewe huna kwenuHata raha yenyewe ya sikukuu imepotea!!!
Wachaga hiyo shida yote ya nini?
Wachaga wengi mazuzu. TunajuanaHakuna mchaga zuzu kama wewe
Unajuana na nani sasa?....Wachaga wengi mazuzu. Tunajuana
Show offHata raha yenyewe ya sikukuu imepotea!!!
Wachaga hiyo shida yote ya nini?
Mto ngono povu ruksa kyasakaWachagga ushamba utatuisha lini? Kichwani empty set kwa sifa za kipumbavvvu
Kwetu pazuri mkuu😀ata raha yenyewe ya sikukuu imepotea!!!
Wachaga hiyo shida yote ya nini?
Kuhesabiwa mkuuHata raha yenyewe ya sikukuu imepotea!!!
Wachaga hiyo shida yote ya nini?