Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Hiyo hali ipo kila siku saa 12:30 jioni huko stendi msamvu morogoro sasa huko moshi ndio mpaka sikukuu ndio hali hiyo itokee ha ha ha ha kweli moshi bado bush
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ilikuwa nyomi all the way to Chuga… ni kama tulikuwa kwa mnyororo wa posta Morocco..Hii sifa sasa. Mkaruka Njoo utie neno Huku maana hawa mangi wamezidi.
Wanataka kugeuza Moshi kuwa mbagala rangi tatu
Kuna mchaga namfahamu yaani kakopa hela ili tu aende moshi[emoji28][emoji28]Wachagga ushamba utatuisha lini? Kichwani empty set kwa sifa za kipumbavvvu
Kwa mpumbavu kama wewe ataona ni upumbavu, kwa mwenye akili na uelewa ni wajibu kwenda kwenu na kujipanga kwa mwaka unaokuja.Wachagga ushamba utatuisha lini? Kichwani empty set kwa sifa za kipumbavvvu
Hongereni sanaKwetu pazuri mkuu😀
Wewe hujaenda maana jina la nyumbani hiloWasalimieni huko
Hao ndio wenyewe sasaHizi pombe zjnazonyweka huku moshi,sijawahi kuona toka Tanganyika ipate uhuru wake.
Mazuzu wenzangu toka Uchagan. Kuttongoza hatujui, show mbovu basi tafrani. Tunajua pombe tuUnajuana na nani sasa?....
Wachaga tunasikitishaMto ngono povu ruksa kyasaka
Moshi Kuna uzuri gani? Kuzidi Tukuyu?Kwetu pazuri mkuu😀
Kama Mchaga napata aibu Sana kwa haya yanayotendekaHiyo hali ipo kila siku saa 12:30 jioni huko stendi msamvu morogoro sasa huko moshi ndio mpaka sikukuu ndio hali hiyo itokee ha ha ha ha kweli moshi bado bush