Hii kali, kunao huko nje bado wanajua Tanzania iko ndani ya Kenya

Kenya ni nchi ndogo sana kwa tanzania ni sawa na wilays yetu ya njombe

Nimesoma sehemu mtanunua magari kutoka Rwanda.....hehehe!!!
Sijui Kagame katupigaje hili bao......Tanzania ni soko nzuri sana kwa mataifa yenye viwanda.
 
Yes,Your point of view and not your take!!!
Your relevence and your capacity are a million miles apart.
 
Kenya as a whole wana obsession na TZ wakati hakuna mbongo mwenye time na Kenya kabisa. How pathetic!
 
Leo ndo nmeamini (nilikuwa nabisha Sana) Wakenya wako obsessed Sana Na Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…