Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Muelekeze ataelewa inaweza kuwa ndo jinsi wanavyopika kwao sasa kama hupendi inafaa umuelekeze apike unavyopenda lkn ukileta huku jf hawez kuelewa wala kujua kama hupend.....mvumilie atajua kama kwel wampenda.....kwanza kwann ulimuacha mkeo.
Ngumu kumeza mkuuKula tu kama vinalika
Hatari sanaKhaaaa
Mkuu tunakuraga tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akuchukue ww tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Akuchukue ww tu
Fursa hiyo wewe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mbishi mtu mwenyewe sasa...hiyo ya kumuacha mke tuache story ndefu lkn tushamaliza tofauti zetuMuelekeze ataelewa inaweza kuwa ndo jinsi wanavyopika kwao sasa kama hupendi inafaa umuelekeze apike unavyopenda lkn ukileta huku jf hawez kuelewa wala kujua kama hupend.....mvumilie atajua kama kwel wampenda.....kwanza kwann ulimuacha mkeo.
Mi tyr nnae wakumpikia vitamu vitamu...Fursa hiyo wewe
Mh!...acha kuturusha roho basiMi tyr nnae wakumpikia vitamu vitamu...
Hata kama napikiwa ovyo?Mvumilie kwenye shida na raha
Hahahahha...sawa kila la kher ktk jiko hilo jipyaMbishi mtu mwenyewe sasa...hiyo ya kumuacha mke tuache story ndefu lkn tushamaliza tofauti zetu
Hahahhaah...Mh!...acha kuturusha roho basi
Hapana kwa kweli mwanamke mapishiHahahahha...sawa kila la kher ktk jiko hilo jipya