Kwa uandishi wa mleta mada, ilikiwa vigumu sana kwake kutambua waliotoa salamu za pole.Inatia dhaka?
Anyway, Marekani walitoa rambirambi na ushahidi huo hapo chini. Penda kujisumbua kupata taarifa sahihi kabla ya kuandika. Mengine sitachangia.
View attachment 1758819
View attachment 1758820
Makamu alitoa Salam za rambi rambi naamini aliwakilisha vyemaKama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu!
Afadhali hata tungekuwa maskini jeuri, wakati wa awamu ya 5 tulikuwa MP (maskini punguani).Kama kawaida MASKINI JEURI
Yaani kweli unataka kupewa msaada halafu unataka ujipangie!? Kweli?Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu!
Kwahiyo muhimu zaidi hapa ni kuendana na mitazamo yake anayoitaka ndipo atakupa fedha zake na sio kwamba anatoa tu msaada kwa sababu ya upendo aliyonao au kwa sababu huyo anayemsaidia ni muhitaji sana wa msaada kuliko wengine kama nilivyokuwa nafikiri mimi?Marekani akikusaidia sio lazima awe amekuona masikini kuliko wengine. Anatoa msaada sana kwa Israel, Kenya, Misri n.k. ambako hali sio mbaya. Kimsingi husaidia wale wanaoendana na mtazamo wao duniani. Mtazamo wao hauna ubaya kwetu.
Watu mnalia mitaani hakuna fedha. Mnadhani zitakujaje huko bila FDI na misaada kama hii ya WB, IMF na Marekani? Kwani wametupa CONDITIONS mbaya ili tupate hiyo misaada?
Msaada wowote wa fedha ambao conditions zake zinakubalika kwetu ni vizuri sana kuupokea.
Wewe ni mpumba . vu huna loloteUjinga wetu na kuaminiswa na baadhi kwamba kuna kuna mabeberu na tunatakiwa tuwe wana ‘Umajumuhi wa Kiafrika’ bila kuangalia hali halisi ya dunia ya kisasa ni shida
Huyo Mwendazake alitumia mbinu za zamani na kutengeneza maadui wa kufikirika tu ( Mabeberu) ili apate umaarufu wa kisiasa na yake mengine yaende kwa mkono wa chuma
Dunia yetu toka zama ni ya ushindani na ukiwa weak utapelekwa tu kuanzia ngazi ya mtu mmoja mpaka Taifa na kama tunataka tuwaepuke hawa so called mabeberu ni mkakati wa muda mrefu sana na labda hata uwe wa siri ( mpaka tuwe imara kusimamia kuanzia mifumo yetu ya siasa, uchumi, tamaduni nk )
Unamchukia beberu hata kusoma mikataba haujui, na bado unaona ufahari kula pesa za umma kama madawa,madawati , mradi wa maji, umeme , bila kusahau unapanda vipandio vyao, unatumia simu zao na unajinasibisha hata kutumia lugha yao achia mbali ujinga wetu wa kujaza watu wa kabila, ndugu na dini tunazotoka eti ndo tunaweza pambana na Beberu na tunataka mpaka tumpangie nini cha kutupa kama msaada
Tuamke wa Afrika tunatakiwa mikakati imara na tuache ubinafsi ndo tunaweza pambana na hawa sijui mabeberu (USA na nchi za magharibi) sio ‘one man show’ ili kupata umaarufu wa kisiasa na kuendeleza ukandamizaji wa raia na kuwa na uhakika wa kula mali zao (wananchi)
Sorry nimejikita zaidi kwenye term ‘Beberu’ kama ulivyo ainisha hayo ya misaada ya korona na sijui SGR wataona wao inavyofaa
Inabidi tuendelee na msimamo wetu, kwani hawa jamaa sio wazuri kabisa. Hapo watakuwa wananyemelea Helium, na mama nae amekamia kuwa ichimbwe tu!!Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu!
USA siyo ovyo tu Bali ni wauaji...Kwahiyo US ni wa ovyo?
Nalog off
Lakini mie naona si mbaya hivyo kama ingewezekana kuchagua ni kipi unachohitaji usaidiwe au usaidiwe kwa namna gani, kwa sababu huyo mtoaji hatoi tu huo tunaoita msaada kwa sababu tu wewe unashida au unahuitaji bali ana malengo yake anataka yatekelezeke ndipo atoe atoe hizo fedha kukupa bila ya hivyo hata kama unashida na uhitaji kiasi gani hatoi fedha zake. Kwahiyo utaona kwa aina ya huu msaada wenyewe ulivyo si ajabu kwa anayesaidiwa kuchagua huo msaada uelekwezwe wapi.Yaani kweli unataka kupewa msaada halafu unataka ujipangie!? Kweli?
Asiye na aibu ni asiyeukubali ukweli .Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu!
Huna akiliKama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu!
We kwenu ni wapiHuko Moshi hakuna Maji? Hakuna shule? KCMC imefungwa lini? Barabara za lami toka mjini hadi kilema zimehama?
Kujipendekeza kunakoitwa uzalendo hakuachi mtu salama. Bado kiwewe cha mwendazake. Mara hawajatoa rambirambi. Kuna rambirambi kubwa zaidi ya msaada? Hata aliyeleta vifuu vya nazi tunywee uji ametufaa. Vitendo kuliko maneno tu ya rambirambi. Hata na maneno yalitangulia. Tunatafuta nongwa bure. Tutengeneze marafiki, maadui wajiunde wenyewe!Yaani kweli unataka kupewa msaada halafu unataka ujipangie!? Kweli?
Pesa ya msaada wa corona haina impact kwetu, wakishakupa wanakwambia ununue chanjo kwao na mahitaji mengine sasa itaongeza mzunguko gani wakati wanaichukua tena?Kuna ubaya gani kuwa marafiki na Marekani? Ni vizuri sana tupate misaada ya kuinua hali ya maisha ya watu wetu. Umeshasafiri sehemu za Tanzania ambako hadi sasa watu wanahangaika maji ya kunywa? Ni nyingi.
Asante Marekani kwa misaada yenu. Zingatieni maji, elimu, afya na barabara tafadhali.
Sio urafiki wa korona peke yake. Na shughuli za korona zinahusisha watu wengi watakaolipwa, sio ununuzi wa chanjo peke yake. Na hata chanjo kuna wakuzisafirisha kwenda mikoani, wakuchanja watu, etc watakaolipwa.Pesa ya msaada wa corona haina impact kwetu, wakishakupa wanakwambia ununue chanjo kwao na mahitaji mengine sasa itaongeza mzunguko gani wakati wanaichukua tena?
Kitakachoonekana ni kwamba wamekusaidia lakini ni njia ya kulet vitu ambavyo ni malengo yao.
Kama wanatupenda walete pesa tuafanyie mahitajibyetu myhimu kama afya miundo mbinu na viwanda.
Interest zinapofanana ndiyo misaada inakuwepo. Kwa mfano sisi tunadhibiti majambazi yaliyoko Msumbiji. Hapa ni vita dhidi ya Alkaeda ya Afrika. Marekani watatupa silaha. Kuna mbaya gani hapo?Kwahiyo muhimu zaidi hapa ni kuendana na mitazamo yake anayoitaka ndipo atakupa fedha zake na sio kwamba anatoa tu msaada kwa sababu ya upendo aliyonao au kwa sababu huyo anayemsaidia ni muhitaji sana wa msaada kuliko wengine kama nilivyokuwa nafikiri mimi?