mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
- Thread starter
-
- #101
Kama wana nia njema watusaidie kulingana na vipaumbele vyetu. Reli ya standard gauge na mradi wa kufua umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere (Stiglers George). Kama hawataki na sisi hatutaki kupangiwa!Kuna ubaya gani kuwa marafiki na Marekani? Ni vizuri sana tupate misaada ya kuinua hali ya maisha ya watu wetu. Umeshasafiri sehemu za Tanzania ambako hadi sasa watu wanahangaika maji ya kunywa? Ni nyingi.
Asante Marekani kwa misaada yenu. Zingatieni maji, elimu, afya na barabara tafadhali.
Wewe 9Tanzania inaitaji marekani kulikomarekani inavyoitaji Tanzaniaziwewe
Wewe ndio unaihitaji marekani. Tanzania tunamhitaji Mungu atupaye uhai na mvua. Mungu ndiye aliyetuponya na corona ambayo bado inawatesa marekani mpaka leo!!Tanzania inaitaji marekani kulikomarekani inavyoitaji Tanzania mbuziwewe
Sijamsikia Biden binafsi! Kwa heshima ya rais inategemewa rais atoe rambirambi binafsi na kwa niaba ya nchi yake! Hivi angefariki mkuu wa nchi ya magharibi unadhani balozi tu ndiye angetoa tamko la rambirambi?Kwa uandishi wa mleta mada, ilikiwa vigumu sana kwake kutambua waliotoa salamu za pole.
Asamehewe.
Hatufi Mungu ametuponya! Ndio maana upo mzima! Marekani wanakufa kwa mamia kila siku, ungekuwa marekani huenda leo usingekuwepo!Usipopambana na corona hio SGR atapanda nani kama wote mkifa kwa corona.Afya kwanza
Tanzania bila Marekani inawezekana ila Tanzania bila Mungu haiwezekani! Namshukuru Mungu muda wote huwa a atapanda viongozi wacha Mungu wanaojua kumtanguliza Mungu!Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.
Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.
Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
Mbona huelew alichokiandika mtoa mada! Umeelewaa ni misaada ipi au umetoka kukojoa tu huko chooni then unakuja kujamba jf!?Kuna ubaya gani kuwa marafiki na Marekani? Ni vizuri sana tupate misaada ya kuinua hali ya maisha ya watu wetu. Umeshasafiri sehemu za Tanzania ambako hadi sasa watu wanahangaika maji ya kunywa? Ni nyingi.
Asante Marekani kwa misaada yenu. Zingatieni maji, elimu, afya na barabara tafadhali.
Wajinga ni wengi humu,wao wanafikiri mataifa ya ulaya yanatupenda sana,marekani kama anataka kukusaidia,atufutie madeni tuu,sisi corona tulishaipiga bao,Kuna nchi zina vita na zenye majanga mbalimbali watu wanakufa kwa njaa ila Marekani katuona sisi ndio wahitaji zaidi wa msaada wake ni mahaba kiasi gani kutoka kwa wapendwa wetu Wamarekani.
Nachelea kusema...katika waafrica kumi, saba ni nyani watatu ndio binadam wanaojitambua.Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.
Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.
Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
Hujaelewa mantiki ya mjhadala! Suala la msingi ni kuwa hatutaki watupangie!! Hatujasema hatuhitajiani la. Ila kuhitajiana si kibali cha kutupangia! We are the sovereign state! We are equal! Wasitushinikize chochote kuhusu corona!! Tutapambana nayo kulingana na mazingira yetu kwa kumtanguliza Mungu.Jibu swali hiyo PEDI uliyovaa imetoka nchi gani?
Dunia ni kam kijiji hata huyo Magufuli ilibidi afe miaka 10 iliyopita ila hawa wazungu ndio waliomuwekea hiyo betri kwenye moyo wake.
Acheni ubaguzi wa kipumbavu. Hiyo simu unayotumia imetengenezwa CHATO?
😆😆😆Naona bado uko zama za jiwe
Marekani ina raia karibu milioni 350.Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Idadi ya USA ni mara 4 ya Tza hivyo hao mamia ni sawa na makumi kwetu tembelea hospitalHatufi Mungu ametuponya! Ndio maana upo mzima! Marekani wanakufa kwa mamia kila siku, ungekuwa marekani huenda leo usingekuwepo!
Sasa wananchi wao wamefanya nini?Wananchi wote wanalengwa
Hata hicho kifaa ulichokitumia kuniita nyani kimetengenezwa na mabeberu ulichokiweza ni kuniita nyani.Nachelea kusema...katika waafrica kumi, saba ni nyani watatu ndio binadam wanaojitambua.
Hivyo bas wewe pia ni mmoja kati ya wale 7 ambao ni nyani..pole sana nyani.
Unasafar ndefu sana kwenye kujikomboa kifikra
Mungu hatangulizwi kwa maneno, huwezi ukasema kuwa unamtanguliza Mungu huku unatoa amri watu wapigwe risasi, watu wauawe, watu watekwe labda kama ni mungu shetani hapo ni sawa, tunahitaji kiongozi anaemtanguliza Mungu na matendo yake yafanane na matendo ya ki Mungu hapo ndipo Tanzania haiwezekani bila Mungu.Tanzania bila Marekani inawezekana ila Tanzania bila Mungu haiwezekani! Namshukuru Mungu muda wote huwa a atapanda viongozi wacha Mungu wanaojua kumtanguliza Mungu!
Kwani kila beberu anajua kutengeneza hicho kifaa?Hata hicho kifaa ulichokitumia kuniita nyani kimetengenezwa na mabeberu ulichokiweza ni kuniita nyani.
Matendo ya ki Mungu ndio yepi hayo?Mungu hatangulizwi kwa maneno, huwezi ukasema kuwa unamtanguliza Mungu huku unatoa amri watu wapigwe risasi, watu wauawe, watu watekwe labda kama ni mungu shetani hapo ni sawa, tunahitaji kiongozi anaemtanguliza Mungu na matendo yake yafanane na matendo ya ki Mungu hapo ndipo Tanzania haiwezekani bila Mungu.
Ww unaeza hata kubali mkeo alale na boss wako kwakua tu anakusaidia. Mpumbavu sana wwAfadhali hata tungekuwa maskini jeuri, wakati wa awamu ya 5 tulikuwa MP (maskini punguani).
Ndo maana ya msaada, ama sivyo huo sio msaada ni mkopo...Yaani kweli unataka kupewa msaada halafu unataka ujipangie!? Kweli?
Wananchi wameichagua serikali na wale wanaoipinga serikali washirikiane na Marekani kuitoa serikali madarakani.Sasa wananchi wao wamefanya nini?