secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Halafu huwa nakuona TikTok ukijinengua na unashandania soko na akina restituta.Tutawatafuna vip warembo Kama nyie msiopenda wababa
Tunajifanya watoto wa chuo pale IFM ili tuwale warembo kama wewe
Tik tok mitandao ya warembo Kama nyieHalafu huwa nakuona TikTok ukijinengua na unashandania soko na akina restituta.
Hii dunia hapana aise.
Tik tok mitandao ya warembo Kama nyie
Me mtandao wangu Jamii forums
We kama unanengua ni wewe
Me ni kidume natokea Kanda ya ziwa mrembo,
Mrembo nakuona unashoboka Kuni quoteMimi ndiye kidume, wewe ulizaliwa wa kiume lakini umeshabolewa hivyo tunvyozungumza sifa uanaume huna.
Wenzako wanakuulizia kwenye jukwaa lao huko, wanadai kuwa una mipasho isiyomithilika.Mrembo nakuona unashoboka Kuni quote
Tulia me sichukuagi wanawake mtandaoni
Dini haituhusu me kuongeza mke au kuwa na mchepukoWenzako wanakuulizia kwenye jukwaa lao huko, wanadai kuwa una mipasho isiyomithilika.
Nasikia uligombana na bwana kisa kila siku kumsifia Granit Shaka. Ila nyie wanawake wa kiafrika na wazungu...Dini haituhusu me kuongeza mke au kuwa na mchepuko
Tafadhali mrembo sikuhitaji