Hii katuni inaongea Mengi!

Hii katuni inaongea Mengi!

njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2009
Posts
13,144
Reaction score
6,942
hii.jpg
 
Inataja kifungu 41 (7) cha katiba ya jamhuri ya muungano ya Tanzania ya 1977. Hayo ndio mambo ya mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
 
I hope vyama vyote vya siasa Tanzania vitahakikisha hali hiwi hivyo hapa kwetu mwaka huu.
 
"Chagua kati ya maisha au kuchakachua", aliamriwa Makame!
 
Back
Top Bottom