Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Spika mpumbavu anatumia katika kuchambiaMnh.... Jamaa ananajisi Katiba
Huyo atakuwa ni yule mwenye faili mirembe anavyo idharau katiba kwa kuendelea kuwakumbatia wale covid-19 kuendelea kuwepo bungeni.Wachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.
Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!
View attachment 1779652
Ina maana jamaa kakanyaga nyaya za wats kubwa sana?Hayo marvey yakipimwa yana upungufu wa cdfour
Huu ni uhuru wa habari wa kipumbavu sanaWachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.
Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!
View attachment 1779652
Kama ndiyo hivyo basi huyu hafai kusalia hapo hata kwa dakikaKatiba si kitu kwa spika wa bunge ni sawa na toilet paper tu
Alafu hilo joho kama lu yule time keeper wa debate pale idodomia, sema sijamuona akivaa mapeteWachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.
Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!
View attachment 1779652
Tulia wewe mataga. Kwani uogo katiba haibakwi?Huu ni uhuru wa habari wa kipumbavu sana
Hahahaaaa...... bwashee uko Dodoma?Huu ni uhuru wa habari wa kipumbavu sana
Katiba inanajisiwa na ndugu waiWachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.
Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!
View attachment 1779652
Wachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.
Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!
View attachment 1779652
Huyu mchoraji amuulize Pascal Mayalla alichokutana nacho mjengoni!Jobo anahara, katiba iko standby kumsafisha