Hii katuni ya Spika na Katiba sijaielewa kabisa

Hii katuni ya Spika na Katiba sijaielewa kabisa

Wachoraji wa katuni duniani kote hutumia Lugha ya uficho Sana kuelezea mawazo yao.

Hii katuni ambayo ni ya kisiasa kwa kuwa kuna mchoro wa Katiba ndani yake. Sijaielewa kabisa!!

View attachment 1779652
Ukiangalia vizuri huyu ni spika na joho lake. Yuko chooni,
Kaitumia katiba kama toilet paper.
Ndio uwakilishi wa hiyo picha. Ndugai una tuaibisha.
Hivi kwanini Mh. Rais asiongee nae hata kwenye koridoo amwambie anayo fanya sio sawa??
 
Inaakisi tabia na mwenendo wa 'kiongozi wa mhimili huo' anavyoinajisi na kuvunja katiba. Shame!
Hakufaa hata kuongoza kijiji, Mama SSH mwangalie huyu mtu atakuchafua na wewe
 
Hapo nadhani inamaana, katiba inatumika na wakuu wa serikali kujitatulia matakwa yao binafsi yasiyo mazuri kimsingi na yasiyoleta manufaa kwa jamii ambayo katiba yenyewe inafaa iilinde!
 
Huu ni uhuru wa habari wa kipumbavu sana
Etwege
Ngoja nikuulize swali jepesi tu, hivi kama Spika Ndugai, asingefanya huo upuuzi wake wa kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, ambao hawana chama wanachokiwakilisha, hivi huyo mchora katuni angepata wapi huo ujumbe wa kuwapa hao wasomaji wake??
 
kwamba huyo anaekata gogo ni nani? mambo mengine hua tunajitakia then yakitukuta ya mdude tunaanza kulialia
 
Back
Top Bottom