Hii kauli inamaanisha nini wadau?

Hata kama ni hasira ndio atoe maneno ya hivyo wakati Mimi ni mtu ninayeingilika kimazungumzo vizuri tu. Namhudumia vizuri.
Achana na huduma, mwanamke anapoamua kuishi na wewe hafuati huduma ila PENZI.. makwazo yakizidi yanaumiza yanaeka chuki moyoni, ukute yapo mambo anayavumilia yanajirudia kila siku hadi yanamjengea chuki mbaya sana juu yako anajikuta anaishi na wewe sababu tu "jamii itanionaje nikiachika"
 
Huyo mkeo atakuwa mnyakyusa ! Hili kabila Lina umimi sana,
 
Lipotezee,wanawake ni kama watoto wanaongeaga vitu vingi vingi sana,vingine hata havina maana visikuumize kichwa

Kama umemtolea mahari,wew ndo utaamua pa kuzikwa yeye
 
Reactions: J C
Si umuache tu mkuu... Ina maana ubongo wako umeganda kias gan kujua n hakufai,.. Kuna mama mmoja wa rafiki yangu tu aliwai niambia kuzaa na mtu si lazima kuishi nae
 
Wewe siyo mumewe. Anakuona kama hawara tu, pengine hakupenda aolewe na wewe.

Muhimu: Fanya kama alivyofanya Hakimi, yule mcheza mpira. Utakuja kunishukuru hata kabla huu mwaka haujaisha
 
Reactions: J C
Wewe siyo mumewe. Anakuona kama hawara tu, pengine hakupenda aolewe na wewe.

Muhimu: Fanya kama alivyofanya Hakimi, yule mcheza mpira. Utakuja kunishukuru hata kabla huu mwaka haujaisha
Asante kwa ushauri. Huyo Hakimi alifanyaje?. :
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…