Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachagga walikufanyaje? Umezidi kuwataja kila maraChaga land yenye tabia hizo
Hata kama ni hasira ndio atoe maneno ya hivyo wakati Mimi ni mtu ninayeingilika kimazungumzo vizuri tu. Namhudumia vizuri.Na haujasema chanzo cha yeye kusema hivyo, watu wanaopendana na kuishi kwa amani katika ndoa zao hawawezi kutoleana maneno kama hayo, ila navojua kuna hasira anayo iliyomjengea chuki ndani ya moyo wake hatamani hata siku akifa umzike wewe, ila ndugu zake akiwemo baba yake
Wewe ni kabila gani zenye mila ya namna hiyo?Kuhusu kifo chake, Huna haki.. hiyo kazi ya ukoo wake..
Kwamba alichonacho kinamtosha atulize nafsi 😆😆😆 au ndio anakufa kwa kiu huku akifahamu maji yapo?Listening Afrika mp3 by Dizasta 🎵🎵
Ndoa ndoano mkuu ... 😆😆Kwamba alichonacho kinamtosha atulize nafsi 😆😆😆 au ndio anakufa kwa kiu huku akifahamu maji yapo?
Ndoa ni ngumu jamani 🎵"Ndoa si kwa ajili yako ni kwa ajili ya watoto"
"Ndoa si pete zinazonga mikono, ndoa ni upendo unabakia baada ya kuchoka kingono"
"Ndoa ni kukumbatia kaa la Moto"
"Ndoa ni Jua Kali"
"Ndoa ni joto"
"Ndoa si drama mbele ya watu nyomi, ndoa ya kweli huanzia Moyoni"
"Ndoa ni fumbo"
Dizasta vina: Ndoano🎶
Mwanandani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. (kabila lake).
Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea yeye Wala kwenye harusi hakuja japo alikuwepo na alikuwa ni mwenye afya tu.
Mwandani akatamka NENO hili na kuliwekea msisitizo ambao sikumjibu lakini limenikaa kichwani nikaona nishirikishe jukwaa ambalo najua Kuna wenye msaada na hekima na wapumbavu pia. Kuwa siku "akitangulia mbele ya haki kabla ya baba yake mzazi, baba yake ndio atoe maamuzi ya yeye kwenda kuzikwa akasisitiza tena kuwa ikiwa maneno yake ie. mke hayatatekelezwa basi nitajilaumu sana maishani ni kana kwamba nitapata matatizo" kwa kwenda kinyume na matakwa ya marehemu.
Sasa wadau naombeni ushauri hapa Ina maana mimi Sina maamuzi juu yake pamoja na kumlisha na kumtunza kote?. Au ni mtunzaji akiwa hai akifa Sina langu?. Vipi Mimi nikitangulia atawapoteza wanangu wasijue kabisa asili ya baba Yao Wala shangazi, baba wakubwa na wadogo upande wangu?. Anamaanisha Nini?. Au INAMAANISHA Nini hii?.
Naombeni mawazo wadau.
Inaonekana mwanamke amelidharau kabila au ukoo wa mumewe.. hataki kuzikwa huko...Kwaiyo hataki kuzikwa na wewe