Hii kauli ya Makamu wa Rais ina maana gani?

Hii kauli ya Makamu wa Rais ina maana gani?

Huyo mama yenu Tax aliwafanya nini Wazimbabwe?.
 
JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijaingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshi letu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majogo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!
tusimulie zaidi mkuu.
 
Eti waziri wa ulinzi[emoji28][emoji28][emoji28].... Jamani hii nafasi ni nyeti Sana kwenye nchi ila naona hapa bongotozo wanaifanyia mzaha
Kwenye kauli ya mheshimiwa alidai anavunja miiko ya wizara hiyo kukaliwa na wanaume tu.
Sijui kama anaelewa wizara hiyo haina cha gender eaquality.. national security inahitaji mtu makini. Sio kubebana sababu ya gender
 
Mh. Dr. Isidori Mpango hakupaswa kutoa maneno hayo kwa Waziri wa Ulinzi kwa uwazi namna hii ambapo maneno haya wameyapata hawa wanajeshi.

Hii sio sahihi kabisa inakuwa kama vile anamchonganisha Tax na Maafande! Pia itawafanya Maafande wasimheshimu hiyu Waziri wao na itamfanya Tax asijiamini atakapokuwa na hao Maafande.

Generally, Makamu wa Rais katereza kwa hilo andiko!!![emoji38][emoji38][emoji38]
Huyu makamu wa rais hajuagi kuongea kwenye hafla naonaga mara nyingi anateleza sana yupo direct sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
AJIUZULU TU...../
YEYE PAMOJA NA RAISI WAKE MIMI KUSEMA KWEELI SIWAELEWI KABISA
takataka yaani trash [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijaingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshi letu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majogo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!
Maokola majogo alifanya nn mkuu?

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom