Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tusimulie zaidi mkuu.JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijaingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshi letu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majogo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!
Hapo ndio utajua dikteta halisi ni nani!ila makamu siku hizi hasikiki sana
Wakata utepeMakamu walikuaDr. Omar Ali Juma
Dr. Gharib Bilal
Kampa fact. Si kumtisha. Ni heads up hiyo
Kwenye kauli ya mheshimiwa alidai anavunja miiko ya wizara hiyo kukaliwa na wanaume tu.Eti waziri wa ulinzi[emoji28][emoji28][emoji28].... Jamani hii nafasi ni nyeti Sana kwenye nchi ila naona hapa bongotozo wanaifanyia mzaha
Mkuu simulizi za JWTZ huwa zinasisimua.tusimulie zaidi mkuu.
Huyu makamu wa rais hajuagi kuongea kwenye hafla naonaga mara nyingi anateleza sana yupo direct sanaMh. Dr. Isidori Mpango hakupaswa kutoa maneno hayo kwa Waziri wa Ulinzi kwa uwazi namna hii ambapo maneno haya wameyapata hawa wanajeshi.
Hii sio sahihi kabisa inakuwa kama vile anamchonganisha Tax na Maafande! Pia itawafanya Maafande wasimheshimu hiyu Waziri wao na itamfanya Tax asijiamini atakapokuwa na hao Maafande.
Generally, Makamu wa Rais katereza kwa hilo andiko!!![emoji38][emoji38][emoji38]
Waliwahi kukufanyia kitu mbaya nini.wanajua kupiga wanavijiji tuu, kupora nguo zilizofanana na jeshi na kupanda daladala za bure, hawana adabu kabisa
Kawekwa spidi gavana. Alishaanza kuvuma kwa kasi.ila makamu siku hizi hasikiki sana
Wanajeshi wenyewe hawa hawa waliofagilishwa mitaa na RC Hapi kule Musoma?
Hata dada yake Makonda alishawahi kuwakomand wafagie manzese .Wanajeshi wenyewe hawa hawa waliofagilishwa mitaa na RC Hapi kule Musoma?
Huenda naye nimwanasesereila makamu siku hizi hasikiki sana
Karibia 95% ya Watu wa ile Kambi ya Hayati waliokuwa wakimjaza Upuuzi na Kumuaminisha ambacho Kisingewezekana Kwake wameshaliwa Vichwa.ila makamu siku hizi hasikiki sana
Maokola majogo alifanya nn mkuu?JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijaingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshi letu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majogo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!