Hii kesi mdogo wangu ana haki au hana?

Hii kesi mdogo wangu ana haki au hana?

Rog chimera

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
398
Reaction score
706
nna mdogo wangu alikua shule moja mkoa wa Dodoma, akakamatwa na simu shuleni na mkuu wa shule akiwa form 6 siku chache kabla ya mtihani.mkuu akakaa na simu hiyo na mdogo wangu alipomaliza shule akadai simu yake lakini mkuu wa shule amegoma kumrudishia na anadai simu imeharibiwa.Ni kweli sheria ya shule hiyo simu ikikamatwa inataifishwa lakini je sheria za nchi zinasemaje,shule inatumia sheria gani kutaifisha mali ya mtu?
 
Sheria za shule zinasemaje mwanafunzi akikamatwa na simu
Namalizia! Mwanafunzi akikamatwa na simu inachukuliwa na kuharibiwa. Sasa ticha kama ameiharibu au la sheria haijasema! Cha kuzingatia ni kinyume na sheria, kanuni za shule za sekondari mwanafunzi kukutwa na simu!
 
nna mdogo wangu alikua shule moja mkoa wa Dodoma, akakamatwa na simu shuleni na mkuu wa shule akiwa form 6 siku chache kabla ya mtihani.mkuu akakaa na simu hiyo na mdogo wangu alipomaliza shule akadai simu yake lakini mkuu wa shule amegoma kumrudishia na anadai simu imeharibiwa.Ni kweli sheria ya shule hiyo simu ikikamatwa inataifishwa lakini je sheria za nchi zinasemaje,shule inatumia sheria gani kutaifisha mali ya mtu?
Hiu hoja sio ya sheria za nchi, ni kujua taratibu (by-laws) za shule zinasemaje. Ila binafsi sioni sababu ya kufatili hili swala kwanza ni utovu wa nidhamu kumiliki simu shuleni.​
 
Hiu hoja sio ya sheria za nchi, ni kujua taratibu (by-laws) za shule zinasemaje. Ila binafsi sioni sababu ya kufatili hili swala kwanza ni utovu wa nidhamu kumiliki simu shuleni.​
sawa ni kosa ila je dogo akienda mahakamani kudai simu yake probabilty ya kushinda ipo ?
 
Mzee baba, dogo alibet ssa mkeka umechanika, unataka kudai hela zako tena?
 
Hiu hoja sio ya sheria za nchi, ni kujua taratibu (by-laws) za shule zinasemaje. Ila binafsi sioni sababu ya kufatili hili swala kwanza ni utovu wa nidhamu kumiliki simu shuleni.​
mkuu kwani by laws si zinakua chini ya sheria mama ya nchi au
 
sawa ni kosa ila je dogo akienda mahakamani kudai simu yake probabilty ya kushinda ipo ?
Mahakamani? probability itategemea na sheria za hiyo Shule zinavyosema kwenye Joining instruction, au ndio kesi ya kuku kuuza ng'ombe? Ningeshauri hizo process za mahakama sijui kufungua file sijui nini na nini bora tu umnunulie dogo simu nyingine.
 
Back
Top Bottom