Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 398
- 706
nna mdogo wangu alikua shule moja mkoa wa Dodoma, akakamatwa na simu shuleni na mkuu wa shule akiwa form 6 siku chache kabla ya mtihani.mkuu akakaa na simu hiyo na mdogo wangu alipomaliza shule akadai simu yake lakini mkuu wa shule amegoma kumrudishia na anadai simu imeharibiwa.Ni kweli sheria ya shule hiyo simu ikikamatwa inataifishwa lakini je sheria za nchi zinasemaje,shule inatumia sheria gani kutaifisha mali ya mtu?