Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hawa wezi dizaini hii ndio wananyandua sana mabeki tatu wetu kwa kuwadanganya kuwa nao ni maafisa kwenye vitengo nyeti kumbe wezi tu kwenye mwendo kasi au panya road.Jamaa mbona kama afisa wa tra kumbe kibaka duuuh
Subiri tuje kukuibiaHivi jina sanga siyo wachaga kweli?maana wachaga wana phd za wizi
Sanga kaanzaje kuwa mchaga?Hivi jina sanga siyo wachaga kweli?maana wachaga wana phd za wizi
Kamata aliyekuibia peleka mahakamaniHivi kisheria imekaaje mtu kumuibia mwengine aliyetafuta kwa jasho lake?
Wewe kama wewe uliwahi kukamata wangapi ukawapeleka mahakamani?Kamata aliyekuibia peleka mahakamani
ShitWewe kama wewe uliwahi kukamata wangapi ukawapeleka mahakamani?
Walikuibia nini?Hivi jina sanga siyo wachaga kweli?maana wachaga wana phd za wizi