run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Nafikiri unapaswa kujua watu watoka katika familia tofauti na pia wengine pia wanafanya biashara haramu kama UMUGHAKA zamani.
Kuna jamaa mmoja alipomaliza chuo mzazi wake alimpatia mtaji wa 80M cash kama mtaji na bado anamsapoti..
Cha msingi shinda mechi zako na usitamani maisha ya mtu kwa kuangalia kijuu juu
Weka malengo yako na ujapambanie wala usijilinganishe na maisha za watu utajiona bure kabisa
Kuna jamaa mmoja alipomaliza chuo mzazi wake alimpatia mtaji wa 80M cash kama mtaji na bado anamsapoti..
Cha msingi shinda mechi zako na usitamani maisha ya mtu kwa kuangalia kijuu juu
Weka malengo yako na ujapambanie wala usijilinganishe na maisha za watu utajiona bure kabisa