Hii kitu imekaaje?

Hii kitu imekaaje?

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Check this;
So Last week nlkuwa club fulani hapa town
Sasa nlkuwa na masela zangu tunakula good times and whatnot,
Sasa kama kawa madem wengi walkuwa ni malaya ila kwenye mishale ya saa 9 ivi nikamspot mtoto mmoja hajavaa kimalaya(kavaa tshet na jinsi refu) anacheza peke yake
Nikajitosa nikaanza kucheza naye;Now kwa kawaida malaya huwa wanawahi kutaja bei au kuomba bia but huyu mtoto hakufanya hivo,tulicheza mpaka sa11 hapo tukipumzika kidogo tunapiga story. Nkawa namuuliza viswali
Mimi:itabidi nirudi naww kwangu ww mtoto
Yeye:kwani unakaa wapi?
Mimi:nakaa chuo X lakin offcampus
Yeye:ndo wapi huko?
Mimi:duh?hukijui hicho chuo?
Yeye: Yeah mi ni mgeni hapa town
Mimi😱oh kwenu wapi kabisa?
Yeye:Mwanza
Mimi: Sehem gani?
Yeye:Ghana
Mmi: aah okay nafurahi kuskia na hapa una mda gan?
Yeye:kama week 1 tu na next week narud home

Long story short aliniambia plan yake ikfika sa 12 ageuze maskani ila nkamkonvince “kunisindikiza” lodge (baada ya bembeleza nyingi sana akakubali)
Sasa keep in mind wote tulikuwa under the influence of alcohol kwahyo tulifika lodge na kuanza kuvua chap
Picha linaanza niliplan kusimamia ukucha asinisahau
Nikampiga zile michapio ya kushoto kulia kama Nasonga ugali au kama nakuna nazi,,bao kama mbili zilizochukua kama lisaa kukamilika
TATIZO: mtoto akawa hachoki yani hataki tupumzike hata sekunde wakati tumekesha tukicheza mziki,so nikamwambia apande juu aride cowgirl!!akapiga cowgirl ya mbele. Na reverse kama nusu saa nzima mtu hashuki mpaka condom ikapasuka
Nikamkaripia ashuke tupumzike lakini akang’ang’ania eti asubuhi anawahi home(hapa nlkuwa simwamini nlkuwa bado nahisi ni malaya alinidanganya tu story zake)
But soon aliposhuka akakimbilia kuoga, wakati anaoga sim yake ikawa inaita kinyama
Alipotoka bafuni nkamuonesha simu akasema “wa nyumban wanansumbua”,,bas tukafanya chap nkaenda kuoga nkamwacha room na simu yangu lakn nlirud nkamkuta then nkamsindikiza kupanda daladala(ilikuwa saa2) akaniomba Nauli nkamwambia niko mweupe(which was true) tukaagana na hatukuwah wasiliana tena
Lets say ilikuwa one night stand

Swali langu sasa ;alikuwa malaya au no?

Vitu vinafanya niamini hakuwa
1. Hakuniomba hata mia wala bia tulpokuwa club
2. Story zake za ugeni mjini zilikuwa consistent before &after alcohol influence
2. Malaya gani anaride bure?
3. Mavazi yake
4. Hakuniibia nlpokuacha room na vitu vyangu

Nishaurini wadau maana ndom ilipasuka sasa niko na mawazo apa na naona kusubiri miez mi3 nikapime ni mbali ntakufa na stress
Was she a ho or not?
 
Siku hizi jamii forum ni ngumu sana, nyie vijana wa chuo mna taabu sana.
1. Tukushauri ili iweje wakati inaonyesha hata namba yake huna.
2. Kama hujiamini why usipime ujijue?
3. Awe malaya au asiwe haisadii kwani umeshatafuna.
Depal weka neno hapa.
Khantwe unasemaje?
 
Wahi mapema kabla marekani hajasitisha misaada maana nae sikuhizi haeleweki unaweza shangaa tu anatia kikwazo..
 
Siku hizi jamii forum ni ngumu sana, nyie vijana wa chuo mna taabu sana.
1. Tukushauri ili iweje wakati inaonyesha hata namba yake huna.
2. Kama hujiamini why usipime ujijue?
3. Awe malaya au asiwe haisadii kwani umeshatafuna.
Depal weka neno hapa.
Khantwe unasemaje?

1.namba ninayo
2.kupima mpaka afta 3 months sasa nitakufa na pre results pressure
3.Inasaidia kama sio inamaana ntaenda kupima bila stress
 
Si malaya, kwa ile sifa ya kuuza uchi
Ni malaya wa tabia kutoa uchi siku hiyohiyo kwa stranger.

Nimekupata..Amen brother
kwa “kawaida” inabidi ichukue mda gani kabla ya kupewa uchi ili asiwe malaya?
 
sasa kama ni malaya utafanya nn!??.. stop dwelling in the past and go party tomorrow again
 
You’re safe she is not a HO she was just enjoying to the maximum, relax. 😜
 
Back
Top Bottom