Hii kitu imekaaje?

Hii kitu imekaaje?

We dogo aliekumbia ukimwiunapatikana kwa malaya tu ni naniii?

Acha kutumia kichwa kama kabati la kuhifadhia meno

ila probability ya malaya kuwa na ukimwi ni kubwa approx ~1
 
Ahaaa kumbe ushaconclude nmeungua meaning ushaconclude alikuwa malaya
🤣 Mkuu nizoee Nina masihara tu nothing big.. chakufanya Kama unamashaka sana kale pep ila Kuna masaa yake yakipita basi nafikiri ni Kama sabini na kitu hivi.. so Kama hayajapita fika hospital muelezee dokta.. nje na hapo subiri miezi yako 3
 
[emoji1787] Mkuu nizoee Nina masihara tu nothing big.. chakufanya Kama unamashaka sana kale pep ila Kuna masaa yake yakipita basi nafikiri ni Kama sabini na kitu hivi.. so Kama hayajapita fika hospital muelezee dokta.. nje na hapo subiri miezi yako 3

ivi izo pep znafanya kaz kwel au ni proper ganda
 
Check this;
So Last week nlkuwa club fulani hapa town
Sasa nlkuwa na masela zangu tunakula good times and whatnot,
Sasa kama kawa madem wengi walkuwa ni malaya ila kwenye mishale ya saa 9 ivi nikamspot mtoto mmoja hajavaa kimalaya(kavaa tshet na jinsi refu) anacheza peke yake
Nikajitosa nikaanza kucheza naye;Now kwa kawaida malaya huwa wanawahi kutaja bei au kuomba bia but huyu mtoto hakufanya hivo,tulicheza mpaka sa11 hapo tukipumzika kidogo tunapiga story. Nkawa namuuliza viswali
Mimi:itabidi nirudi naww kwangu ww mtoto
Yeye:kwani unakaa wapi?
Mimi:nakaa chuo X lakin offcampus
Yeye:ndo wapi huko?
Mimi:duh?hukijui hicho chuo?
Yeye: Yeah mi ni mgeni hapa town
Mimi😱oh kwenu wapi kabisa?
Yeye:Mwanza
Mimi: Sehem gani?
Yeye:Ghana
Mmi: aah okay nafurahi kuskia na hapa una mda gan?
Yeye:kama week 1 tu na next week narud home

Long story short aliniambia plan yake ikfika sa 12 ageuze maskani ila nkamkonvince “kunisindikiza” lodge (baada ya bembeleza nyingi sana akakubali)
Sasa keep in mind wote tulikuwa under the influence of alcohol kwahyo tulifika lodge na kuanza kuvua chap
Picha linaanza niliplan kusimamia ukucha asinisahau
Nikampiga zile michapio ya kushoto kulia kama Nasonga ugali au kama nakuna nazi,,bao kama mbili zilizochukua kama lisaa kukamilika
TATIZO: mtoto akawa hachoki yani hataki tupumzike hata sekunde wakati tumekesha tukicheza mziki,so nikamwambia apande juu aride cowgirl!!akapiga cowgirl ya mbele. Na reverse kama nusu saa nzima mtu hashuki mpaka condom ikapasuka
Nikamkaripia ashuke tupumzike lakini akang’ang’ania eti asubuhi anawahi home(hapa nlkuwa simwamini nlkuwa bado nahisi ni malaya alinidanganya tu story zake)
But soon aliposhuka akakimbilia kuoga, wakati anaoga sim yake ikawa inaita kinyama
Alipotoka bafuni nkamuonesha simu akasema “wa nyumban wanansumbua”,,bas tukafanya chap nkaenda kuoga nkamwacha room na simu yangu lakn nlirud nkamkuta then nkamsindikiza kupanda daladala(ilikuwa saa2) akaniomba Nauli nkamwambia niko mweupe(which was true) tukaagana na hatukuwah wasiliana tena
Lets say ilikuwa one night stand

Swali langu sasa ;alikuwa malaya au no?

Vitu vinafanya niamini hakuwa
1.hakuniomba hata mia wala bia tulpokuwa club
2.story zake za ugeni mjini zilikuwa consistent before &after alcohol influence
2.Malaya gani anaride bure?
3.mavazi yake
4.hakuniibia nlpokuacha room na vitu vyangu

Nishaurini wadau maana ndom ilipasuka sasa niko na mawazo apa na naona kusubiri miez mi3 nikapime ni mbali ntakufa na stress
Was she a ho or not?
[/QUOTKiwanda tayari
 
Labda tu nikujuze,huu ugonjwa wenye maambukizi makubwa sio Malaya wanaojiuza au Machangudoa wao wako makini sana na matumizi ya kinga,pili muda unaojisifia bao mbili lisaa hawapo hivyo wanataka upige tako tatu la nne mpira kati huo ufundi mpelekee mkeo,Tatizo hapa wahanga ni watoto wa geti Kali wanaopewa ruhusa kwenda kutembea siku za sikukuu mara mojamoja na wake za watu hawajui chochote kuhusu kinga pia nyege zinakua lumbesa huku wakiwahi muda wa kurudi kwa hiyo chapu tena kavukuva wanapiga misamba kuliko maninja na popote ni fursa hata kwenye majumba yasiyoisha au magari mabovu wanainamishwa hoovyo huku hamna anaewahofia kila mtu anawaona salama,hata ww usingetusumbua kama ungemuona ametokea geti kali au uswazi ya uchumi wa kati.
 
Kwanini wana probability kubwa ya kupata ukimwi?

C’mon bro! Huoni kabisa?
1.Kwa % ngap unaziamin ndom dhidi ya vvu?
2.Halafu malaya wengi wana dau lao unaenda kavu
3.Na tigo wanaliwa na ndom?
 
Back
Top Bottom