Hii kitu imekaaje?

Hii kitu imekaaje?

Labda tu nikujuze,huu ugonjwa wenye maambukizi makubwa sio Malaya wanaojiuza au Machangudoa wao wako makini sana na matumizi ya kinga,pili muda unaojisifia bao mbili lisaa hawapo hivyo wanataka upige tako tatu la nne mpira kati huo ufundi mpelekee mkeo,Tatizo hapa wahanga ni watoto wa geti Kali wanaopewa ruhusa kwenda kutembea siku za sikukuu mara mojamoja na wake za watu hawajui chochote kuhusu kinga pia nyege zinakua lumbesa huku wakiwahi muda wa kurudi kwa hiyo chapu tena kavukuva wanapiga misamba kuliko maninja na popote ni fursa hata kwenye majumba yasiyoisha au magari mabovu wanainamishwa hoovyo huku hamna anaewahofia kila mtu anawaona salama,hata ww usingetusumbua kama ungemuona ametokea geti kali au uswazi ya uchumi wa kati.

At least unanipa tumaini tudogo tudogo
 
Siku hizi jamii forum ni ngumu sana, nyie vijana wa chuo mna taabu sana.
1. Tukushauri ili iweje wakati inaonyesha hata namba yake huna.
2. Kama hujiamini why usipime ujijue?
3. Awe malaya au asiwe haisadii kwani umeshatafuna.
Depal weka neno hapa.
Khantwe unasemaje?
Koo hao ulowatag ndo wanajua kama mwenzao anao oh nah?
 
Hizi ni akili za usiku zile za YOLO
wrong nigga, you live everyday and u die once... i believe huenda mkakutana tena if u are meant, by then be friends if it happens utapata kumjua vzuri ila sio kwa kuuliza humu... kuna mademu they have a bitchy character ila kiuhalisia they are loyal and shit!!
 
Unawezajw Kurisk Maisha yako kwa Utamu wa usiku mmoja..???
 
Huyo alikuwa anataka kupunguza genye siyo Malaya mtafuta hela...angekuwa mtafuta hela ungelipia huduma....kapime baada ya miezi 3,
 
Trust me or not..UMESHAAMBUKIZWA NGOMA.
utanipa majibu
 
Itabidi tuwashauri dada zetu wakiwa wanaenda clubs wavae madera na magauni marefu ya vitenge ili wasionekane malaya mbele ya macho ya malaya.
 
Una uhakika hakukuomba hata mia?

Hiyo nauli aliomba asbh tena kama matani...malaya wengi ni prepaid yani pay then pata huduma
Na kuomba nauli mbn hata dem ata wife anaomba naul shifre tu
 
Ulimaanisha nn kusema hakukuomba hata mia, unataka kuniambia nauli sio pesa? When the deal is too good, think twice
 
wrong nigga, you live everyday and u die once... i believe huenda mkakutana tena if u are meant, by then be friends if it happens utapata kumjua vzuri ila sio kwa kuuliza humu... kuna mademu they have a bitchy character ila kiuhalisia they are loyal and shit!!

That’s possible or maybe anaweza kuwa just a good liar
 
Itabidi tuwashauri dada zetu wakiwa wanaenda clubs wavae madera na magauni marefu ya vitenge ili wasionekane malaya mbele ya macho ya malaya.

Huo sasa utakuwa uhujumu uchumi
 
Ulimaanisha nn kusema hakukuomba hata mia, unataka kuniambia nauli sio pesa? When the deal is too good, think twice

Sasa nauli si jero tu ndugu yangu,,,mbn dem wako unamlipiaga go and return
 
Kwenye 500 kuna miamia ngapi? Halafu huyo demu wangu ulimsikia wapi akiomba nauli
 
Kikubwa ni kuwa jiandae baada ya miezi mitatu ukachek afya, unaweza kuwa umetembelewa na mgeni kutoka wizara ya nishati na kuunganishiwa umeme bure bila malipo
 
ila probability ya malaya kuwa na ukimwi ni kubwa approx ~1
Hiyo fact umeitoa wapi? Probability ya malaya kutokuwa na Ukimwi pia inaweza kuwa kubwa kwa sababu wanajali afya zao na uchi wao ndiyo kipato chao.
 
Back
Top Bottom