Hii kitu imekaaje?

We dogo aliekumbia ukimwiunapatikana kwa malaya tu ni naniii?

Acha kutumia kichwa kama kabati la kuhifadhia meno

ila probability ya malaya kuwa na ukimwi ni kubwa approx ~1
 
Ahaaa kumbe ushaconclude nmeungua meaning ushaconclude alikuwa malaya
🤣 Mkuu nizoee Nina masihara tu nothing big.. chakufanya Kama unamashaka sana kale pep ila Kuna masaa yake yakipita basi nafikiri ni Kama sabini na kitu hivi.. so Kama hayajapita fika hospital muelezee dokta.. nje na hapo subiri miezi yako 3
 
[emoji1787] Mkuu nizoee Nina masihara tu nothing big.. chakufanya Kama unamashaka sana kale pep ila Kuna masaa yake yakipita basi nafikiri ni Kama sabini na kitu hivi.. so Kama hayajapita fika hospital muelezee dokta.. nje na hapo subiri miezi yako 3

ivi izo pep znafanya kaz kwel au ni proper ganda
 
 
Labda tu nikujuze,huu ugonjwa wenye maambukizi makubwa sio Malaya wanaojiuza au Machangudoa wao wako makini sana na matumizi ya kinga,pili muda unaojisifia bao mbili lisaa hawapo hivyo wanataka upige tako tatu la nne mpira kati huo ufundi mpelekee mkeo,Tatizo hapa wahanga ni watoto wa geti Kali wanaopewa ruhusa kwenda kutembea siku za sikukuu mara mojamoja na wake za watu hawajui chochote kuhusu kinga pia nyege zinakua lumbesa huku wakiwahi muda wa kurudi kwa hiyo chapu tena kavukuva wanapiga misamba kuliko maninja na popote ni fursa hata kwenye majumba yasiyoisha au magari mabovu wanainamishwa hoovyo huku hamna anaewahofia kila mtu anawaona salama,hata ww usingetusumbua kama ungemuona ametokea geti kali au uswazi ya uchumi wa kati.
 
Kwanini wana probability kubwa ya kupata ukimwi?

C’mon bro! Huoni kabisa?
1.Kwa % ngap unaziamin ndom dhidi ya vvu?
2.Halafu malaya wengi wana dau lao unaenda kavu
3.Na tigo wanaliwa na ndom?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…