Hii kuljuani ya Mzee Magoma noma, ilisomwa Kilwa miaka ya 1970' ilileta balaa.

Hii kuljuani ya Mzee Magoma noma, ilisomwa Kilwa miaka ya 1970' ilileta balaa.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Mimi si shabiki wa mpira kivile ingawa naipenda Yanga kuliko Simba . Hakuna timu nitavutiwa mpaka nikatoa pesa yangu kununua jezi.
Turudi kwa Mzee Magoma, huyu kafanya haki yake kikatiba na mtu yeyote akiona Mzee kakosea milango ya mahakama iko wazi sio kuishia kuropoka vijiweni tu.
Hiyo dua anayoisema ni kind of Albadli au kiarabu tunaita Ahal Lbadr. Albadli ni vita ya kisasi. Ningeleta history of Ahal Lbadr ila naona si wakati wake.
Miaka ya 70 Mzee akiwa Kilwa kupata elimu ya akhera huku akipata elimu ya Sihiri mwalimu wao aliibiwa nazi, akatoa wiki moja ya toba. Yeyote aliyeiba arudishe au ajisalimishe, masela wakanyuti.
Akaitandika Albadli konki.
Kijana aliyepanda juu kuangua nazi alikufa, aliyeokotea na kuchuna alikufa, kila aliyekula mboga iliyoungwa zile nazi alikufa, kibao cha kukunia nazi kilichotumika kukuna kiliungua, mti uliotumika kuchuna nazi uliungua.
Ukawa msiba mzito.
Kwahiyo kama kweli huyu Mzee anaijua vizuri hiyo kind ya Albadli basi sio mchezo. Albadli ina branches zake kulingana na kusudi la msomaji.
Ngoja niishie hapa.
Sifanyi promotion ya usihiri, nimekumbuka story alizotusimulia Mzee baada ya Mzee Magoma kutaja hiyo kitu jana. Nineokoka, nampenda Yesu.
Bwana Yesu asifiwe.
 
Kijana aliyepanda juu kuangua nazi alikufa, aliyeokotea na kuchuna alikufa, kila aliyekula mboga iliyoungwa zile nazi alikufa, kibao cha kukunia nazi kilichotumika kukuna kiliungua, mti uliotumika kuchuna nazi uliungua.
Mungu gani mpuuzi hivyo kukubali ombi la kiwendawazimu. Kwahiyo kama mwizi wa nazi aliiba na kuziuza, walionunua bila kujua nao walikufa. Huyo Mungu au mganga wa kienyeji.

Wapalestina pale Gaza wamuite mzee Magoma wana jambo lao
 
Mungu gani mpuuzi hivyo kukubali ombi la kiwendawazimu. Kwahiyo kama mwizi wa nazi aliiba na kuziuza, walionunua bila kujua nao walikufa. Huyo Mungu au mganga wa kienyeji.
Mungu hahusiki na lolote hapo, Jiulize kwani yeye ndiye aliruhusu mwizi aibe nazi?

Hayo ni matendo ya binadamu na matakwa yao, pia hiyo ni kazi ya shetani.
 
Akirusha hilo kombora hata humu JF kutakuwa ni vilio vitupu maana jana kapewa kila aina ya tusi. Yanga itashuka hadi ligi daraja la 3, ikacheze na Bom Bom FC.
 
Mungu gani mpuuzi hivyo kukubali ombi la kiwendawazimu. Kwahiyo kama mwizi wa nazi aliiba na kuziuza, walionunua bila kujua nao walikufa. Huyo Mungu au mganga wa kienyeji.

Wapalestina pale Gaza wamuite mzee Magoma wana jambo lao
Kwani kuna sehemu nimetaja neno Mungu?
Je, anayeua watu kwa ulozi Mungu gani anajibu hilo ombi?
 
Kuna watu wamepigwa na Qurjuan zao. Hivi kuna mtu alikuwa anaogopwa kama Mzee Uwesu Bin Zubeir? Watu walipo choshwa na vituko vyake wakamsafiria hadi Mikumi kwa yule fundi baba lao ambae jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..

Mzee Uwesu Bin Zubeir alikauka akiwa juu ya mti na ulozi wake mchana kweupe.

Ukilijua hili wenzako wanalijua lile.

So mzee Magoma ajiangalie sana
 
Kuna watu wamepigwa na Qurjuan zao. Hivi kuna mtu alikuwa anaogopwa kama Mzee Uwesu Bin Zubeir? Watu walipo choshwa na vituko vyake wakamsafiria hadi Mikumi kwa yule fundi baba lao ambae jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..

Mzee Uwesu Bin Zubeir alikauka akiwa juu ya mti na ulozi wake mchana kweupe.

Ukilijua hili wenzako wanalijua lile.

So mzee Magoma ajiangalie sana
Nipe stori fupi ya huyo mwamba Mzee Uwesu
 
Back
Top Bottom