Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.
Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?
Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?
View attachment 2828416
Kuna 7-10Hapo ndiobhuwa tuaambiwa kuwansisi wa tz wavivu wa kufikiri. Umeweza kuandikanhapa lakini umeshindwa ku gogle, ku ask.com. au kwenda chartGBT kweli. Acheni uvivu wa kufikiri.
Msosi likikosa siku 2/3 linakufakwanii labda dume lafa mapema kuliko jike
yah!! true,,nzi siku 7,mbwa miaka 14,kobe miaka 300,kunguru miaka 70 n.kKuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.
Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?
Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?
View attachment 2828416
Kwani anabalehe siku ya ngapi?Kuna huyu mdudu anaitwa nzi na wengine husema nzi kutikana na lahaja za maeneo yao.
Eti ni kweli maisha yake hudumu kwa kipindi cha siku 7 tu, na katika muda huo anakua ni kikongwe mzee sana hajiwezi, na anaweza aga dunia wakati wowote kwa sababu ya umri usonga sana kitika kipindi hicho?
Wataalamu wa wadudu na viumbe tafadhali hizi ni simulizi tu au kuna ukweli?
View attachment 2828416
Mbu tuliambiwa siku 3 kumbe uongo.Elimu ya somo la sayansi shule ya msingi enzi hizoo. Tulidanganywa sana. Eti 7days.
It's just about 15 up to 25days(LER)
Mkuu wengine hujajua tu. Humu kuna watu wanaabudu mitandao hapo akipoteza hii ac basi anapagawa ndio maana utaona mtu analeta uzi ambao hata mtoto wa chuo hawezi kuuleta hapa. Msamehe bure mimi naishiaga kumwambia NYEGE MBAYAHapo ndiobhuwa tuaambiwa kuwansisi wa tz wavivu wa kufikiri. Umeweza kuandikanhapa lakini umeshindwa ku gogle, ku ask.com. au kwenda chartGBT kweli. Acheni uvivu wa kufikiri.