Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jelly Fish ni Immortal....yaani Hafi mileleyah!! true,,nzi siku 7,mbwa miaka 14,kobe miaka 300,kunguru miaka 70 n.k
hata hivyo inaonekana wanazaliana kwa haraka na wingi sana...Hivi angekuwa ana maisha marefu huyu kiumbe ingekuwaje? Hasa ukizingatia usumbufu alionao na hatari yake ya kusambaza magonjwa ya kuhara
Madume ya viumbe vyote huwahi kufa kabla ya majikeKuna 7-10
Kuna 28
Kuna 15-30
Kuna 20-30
Kuna 25-30
Inategemea na mazingira tena dume ndio hua linawahi kufa kuliko jike
Hapo kuna la kujifunza, tupunguze sana kupiga push-up!.Inategemea na mazingira tena dume ndio hua linawahi kufa kuliko jike
Kobe miaka 300 au 30?yah!! true,,nzi siku 7,mbwa miaka 14,kobe miaka 300,kunguru miaka 70 n.k
Anazaliwa kaisha baleheKwani anabalehe siku ya ngapi?
Hapo ndi huwa tuaambiwa kuwa sisi wa tz wavivu wa kufikiri. Umeweza kuandika hapa lakini umeshindwa ku gogle, ku ask.com. au kwenda chartGBT kweli. Acheni uvivu wa kufikiri.
🙏💪👌🔥Kwa nini? Usi pract kuliko kwenda kusoma maelezo yaliyoandikwa na binaadamu mwenzako pengine nayeye alikosea kuingiza kwenye mtandao taarifa sizizo sahihi
Uvivu pia kutafuta maelezo uliyoandaliwa nenda kaandae na uanze kufatilia ujue kipi na kipi ni sahihi
Africa tunajilaani wenyewe kwa kusema utajiri upo kwenye vitabu na sio sahihi