Hii kwangu imekuwa changamoto kubwa. Hata natamani kukimbia home

😳😳😳😳😳 tandu kitandani? Hicho chumba ntapata wakati mgumu kushawishiwa kulala tena. Hao wadudu nikimwona tu mwili unasisimka. Napoteza sana.

 
Uwiiii yani unasimulia wewe mimi huku natetemeka[emoji2960][emoji2960] .
Huku kukaa katika sofa na ukaona nyoka kajilaza kwa nyuma ya shingo yako ni kawaida tu, muhimu ni kuondoa hamaki ili usimshtue akajihami.
 
Nyoka wa kijani hangati kutokana na maumbile ya meno yake, hana meno kwa mbele, meno yake yameanzia katikati ya taya, hivyo kungata mpaka umkanyage na ahangaike kutoka
Anang'ata mkuu hata kama hujamkanyaga ila tu sumu yake sio tishio kama wengine.
 
Nikaamua kuhama. Mimi binafsi hata mende mkubwa akiwa room kama hajatolewa (sipendi auliwe ndani) siwezi lala.

Mbombo ngafu naloli...we ni mwoga tu jamaa...utotoni tumechezea sana wadudu..hawa vyura wadogo..wanakuwa na kimkia wanafanana na samaki (kambale) tumewala sana...tumekula mpaka panzi wa kuchoma....duh kweli kuna ntu na ntu..!!!
 
Kwa wanaime wa Daslam sikushangai mkuu, maana mnaogopa sana mende, mijusi, kumbikumbi, jongoo, kinyonga nk:
Maana hata wale wanyama wakali ambao mnajiamini hamuwaogopi, hua mnawaonea kwenye movie tu...
 
Usimdanganye kuwa nyoka wa kijani hana madhara. Inategemea ni nyoka gani kwakua nyoka wa kijani wapo wengi ambao ni venomous kama Green Mamba, Boomslang n.k

Lakini pia wapo wengine ambao ni nonvenomous.

Kikubwa mara nyingi nyoka sio rahisi ku attack mtu kama hajafeel threatened, yani simply mpaka nyoka akung'ate ni katika jitihada za kujilinda kama amehisi atadhurika.

Chamsingi watu msiue nyoka kama yupo nje mzuie tu asiingie ndani na kama yupo ndani mtoe nje mpeleke machakani huko usimuue.
 
[emoji27][emoji27][emoji27]

Hapo ningehama Mimi, nyoka hata nikiona kwenye tv tu, ninaogopa Sana, na nikilala lazima niote
 
Kuhusu kuzuia nyoka kuja kwako onana na Mama Diamond ama Muha yeyote wa Kigoma, wale ni wachawi wa asili na wanajuwa kuishi na hao wadudu.
 
We jamaa hii kama ya kufunga ngamia.

Umetembe wapi pori lenye wanyama wakali ukakosa mjusi, nyoka, na wadudu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…