wanafata mipassion.nilisikia huwa wanakaa juu ya mipassionNyoka wa kijani hawanaga madhara,unaweza lala nae ktandani,tuliwah ishi mahala walkuwa weng sana lakin hawakuwah kuleta madhara mwanzo tuliwauwa sana kwa sku tulkuwa tunaua watatu mpaka watano,jamaa mmoja akatueleza kuwa waacheni tu hawana shida mpaka Leo Mimi kama nyoka hayupo ndani hata kama ni wale weusi siwezi kumuua ni dhambi pale hajafanya kosa lolote why umuue
Sawa TARZAN.Tunatakiwa kujifunza jinsi ya kuishi nao. Uli wao waishi nasi pia tuishi.
Mipassion wanaipenda sana,ukitengeneza kivuli cha miti ya mapassion kila sku watakuwa wanakudondokea
Acha utani wewe wale walisha laaniwa na Mwenyezi Mungu..nyoka ni nyoka mula! Hakuna kijani Wala bluuNyoka wa kijani hawanaga madhara,unaweza lala nae ktandani,tuliwah ishi mahala walkuwa weng sana lakin hawakuwah kuleta madhara mwanzo tuliwauwa sana kwa sku tulkuwa tunaua watatu mpaka watano,jamaa mmoja akatueleza kuwa waacheni tu hawana shida mpaka Leo Mimi kama nyoka hayupo ndani hata kama ni wale weusi siwezi kumuua ni dhambi pale hajafanya kosa lolote why umuue
Hana madhara ila ana sumu kali sana akikuuma kama hutapata msaada unakufaNyoka wa kijani hawanaga madhara,unaweza lala nae ktandani,tuliwah ishi mahala walkuwa weng sana lakin hawakuwah kuleta madhara mwanzo tuliwauwa sana kwa sku tulkuwa tunaua watatu mpaka watano,jamaa mmoja akatueleza kuwa waacheni tu hawana shida mpaka Leo Mimi kama nyoka hayupo ndani hata kama ni wale weusi siwezi kumuua ni dhambi pale hajafanya kosa lolote why umuue
Huku niliko kwangu kuna nyoka sana na kupambana nao ni jambo la kawaida, nilishawahi kung'atwa na kisa nikaleta humu.
Kuna majoka ya kila aina haipiti wiki lazima uwaone au uwaue wawili watatu na mpaka juzi saa moja usiku tumeua joka lenye unene wa tyre ya gari likitoka maeneo yangu na wenyeji wa huku wanaliita Bafe na kusifu kuwa ana sumu kali sana hivyo huua haraka sana.
Mazingira yeyote yanapokutokea usiogope bali jenga ujasiri! Mimi hadi hapa nilipo sasa hivi nimepumzika hapa ndani lakini najua kama sio chini ya kitanda basi nyuma ya makabati kuna nyoka, maana kila baada ya muda nakuta gamba nene jeusi lililo vuliwa na nyoka.
Nadhani umenjibu pasipo kujua undani wa shida husika. Umejibu kishabiki
Huku kukaa katika sofa na ukaona nyoka kajilaza kwa nyuma ya shingo yako ni kawaida tu, muhimu ni kuondoa hamaki ili usimshtue akajihami.
Kuhusu kuzuia nyoka kuja kwako onana na Mama Diamond ama Muha yeyote wa Kigoma, wale ni wachawi wa asili na wanajuwa kuishi na hao wadudu.
Si unataka kinga dhidi ya hao wadudu?Mkuu huwa sifanyi uchawi au ushirikina. Thank you.
Si Jambo zuri sana kulala na nyoka ndani , ni vyema ukawa unapiga dawa.Huku niliko kwangu kuna nyoka sana na kupambana nao ni jambo la kawaida, nilishawahi kung'atwa na kisa nikaleta humu.
Kuna majoka ya kila aina haipiti wiki lazima uwaone au uwaue wawili watatu na mpaka juzi saa moja usiku tumeua joka lenye unene wa tyre ya gari likitoka maeneo yangu na wenyeji wa huku wanaliita Bafe na kusifu kuwa ana sumu kali sana hivyo huua haraka sana.
Mazingira yeyote yanapokutokea usiogope bali jenga ujasiri! Mimi hadi hapa nilipo sasa hivi nimepumzika hapa ndani lakini najua kama sio chini ya kitanda basi nyuma ya makabati kuna nyoka, maana kila baada ya muda nakuta gamba nene jeusi lililo vuliwa na nyoka.
Duuh mzee we ninja, hakuna kitu mimi naogopa kama nyoka maana hao viumbe hawachelewi kutekeleza majukumu ya Israel ,, yani wao na kifo ni nduguHuku niliko kwangu kuna nyoka sana na kupambana nao ni jambo la kawaida, nilishawahi kung'atwa na kisa nikaleta humu.
Kuna majoka ya kila aina haipiti wiki lazima uwaone au uwaue wawili watatu na mpaka juzi saa moja usiku tumeua joka lenye unene wa tyre ya gari likitoka maeneo yangu na wenyeji wa huku wanaliita Bafe na kusifu kuwa ana sumu kali sana hivyo huua haraka sana.
Mazingira yeyote yanapokutokea usiogope bali jenga ujasiri! Mimi hadi hapa nilipo sasa hivi nimepumzika hapa ndani lakini najua kama sio chini ya kitanda basi nyuma ya makabati kuna nyoka, maana kila baada ya muda nakuta gamba nene jeusi lililo vuliwa na nyoka.
Habari! Mimi nmejenga sehemu moja hapa Dar kms 16 kufika Posta kwenye Mnara wa Askari. Nachelea kusema ni mbali na Jiji au si mbali sana.
Kiwanja nilinunua kikubwa sana.of course Mzee alitununulia miaka hiyo ya 90s then nami nikaja ongezea so nina eneo la kutosha hasa. Nmejenga na nimepata sehemu ya kupanda miti miwili mitatu ya matunda.
Nina migomba, michungwa,miembe mbegu fupi,makoma manga,mipapai mbegu fupi na migomba.
But pia nina kaeneo ka bustan so wanalima kiasi mboga mboga na mapassion.
Eneo lote nimezungushia.nmezungushia kwa ukuta mrefu sana na kuacha kidogo tu kwa mbele ili kupitisha hewa.
Shida inayonifanya nianze kuchukia hapa home ni wadudu. Nimeshaambiwa mara mbili pameonwa na kuuliwa nyoka wa kijani.
Mimi ni NYOKAPHOBIA na WADUDUPHOBIA. Nipo tayari kupambana na mbwa lakini si wadudu.
Nakumbuka mwaka flani nikiwa chuo nlienda panga sehemu moja Msewe ukipita lile gate la Chuo kama unaelekea Changanyikeni. Nlihama ndani ya mwezi mmoja nikaacha chumba na kodi sababu ya uwepo wa Tandu na Nge wengi eneo lile.
Nlijikuta nashindwa kulala au kukaa room.sikuwa na amani kabisa.nlitafuta dawa nyingi mpaka nilikuja pata flani ambayo kidogo nami iniue.ile dawa ilikuwa unapulizia. Sikuwa nimeziba pua.ilikuwa ina hewa kavu na yenye kukaba kiasi kwamba ukipuliziwa ndani ukafungiwa unakufa.ilikuwa kavu sana na inakata pumzi huwezi vuta.
Nikaamua kuhama. Mimi binafsi hata mende mkubwa akiwa room kama hajatolewa (sipendi auliwe ndani) siwezi lala. Au nimwone mjusi wale wanaopenda kukaa ndani.siwezi pata amani mpaka atolewe (na sipendi auliwe pia)
Hili tatizo sielewi maana ikinyesha mvua hata kumbikumbi sipendi waniguse.napata shida sana. Kifupi sipendi mdudu yoyote around me.
Nyoka hata awe amekufa sipendi mwona au itokee nimguse.sipendi nyoka awe wa rangi yoyote ile.mweupe,mwekundu,njano,kijani au blue. Ni kwamba sipendi nyoka.
Lakini ukinambia kuna sehemu kuna mbwa mkali huyo wala haniogopeshi.nimetembea porini kwenye wanyama wakali sana na wakutisha sikuwa naogopa hata kidogo.ila nambie tu kuwa room kwao nmeona nge au tandu. Sitolala mpaka apatikane atolewe.
Nimeshawahi kimbiza fisi porini mara mbili nikiwa na panga,nmewahi kimbiza duma nikiwa na panga na mkuki. Lakini siku hiyo nmemkimbiza duma nmerudi kwenye tent jamaa yangu akasema amemwona mjusi kafiri kaingia kwenye tent yangu sikufunga vizuri zip. Sikulala.
Najaribu kuwaza nifanye nini kuepukana na hali hii ya kuogopa wadudu lakini pia kwa hapa home nazuiaje kabisa nyoka na wale mijusi wasikanyage kabisa home. Maana naanza kukosa amani.na binafsi sipendelei kwenda ishi kwenye maghorofa kule upanga,mikocheni n.k
Mkuu inabidi tu uzoee na hivyo nyumba ni ya kwako kabisa hujakodi kama utasema unahama ukakodi kwengine..... Mie makaazi nilohama ilikuwa mara kwa mara tunaua tandu. mara akupitie mguuni, mara umelala nae kucha chini ya mto, mara ushaamka ukirudia kitandani unamkuta katulia chooni ndio mara kadhaa wadogo, wakubwa, weusi wa brown yaani mitandu kama yote, chumbani tushaua nyoka mara mbili tunaua tunatupa maisha yanaendelea.... Fanya fumigation mara kwa mara kwa hao wadudu wadudu na ukipata mubil mchafu mwaga mwaga sehem za nje inakimbiza nyoka
Hao tandu umewadhibiti vipi? Hao ni issue kwangu. Hata ukinambia ana mapengo haumi siwezi kukwelewa. Kuna dawa gani ya kuua wote na kuzuia kuenea kwao?