Hii kweli halali Hawa mabeberu walichomfanyia huyu bushman

Hii kweli halali Hawa mabeberu walichomfanyia huyu bushman

Hivi huyu Hellen White ni nabii wa wasabato au ni mbeba maono wao....maana huwa sielewi wasabato misingi yao imesimama wapi hasa. Mafundisho yao mengi ni kutabiri mwisho wa dunia, ingawa wameingia chaka mara kibao, mafundisho kuhusu vyakula najisi, mafundisho kuhusu kwenda kuishi milimani na kula majani wakati wa dhiki kuu, mafundisho kuhusu alama ya mnyama na mpinga kristo na kuhusianisha na kanisa katoliki. Mkuu kama unajua zaidi kuhusu wasabato naomba udadavuzi, please.....
Na hawatumii majani ya chai wakisema Zina chembechembe za bangi sjui tumbaku ila akili zao Ni zaidi ya wavuta bangi we mtu unaendaje USA bila Visa?
 
Naomba kuzijua
1.There's a Zulu in my stoep
2.oh schuks its gatvol
3.panic mechanic
4.oh schucks its schuster (humu jamaa ka play charecter ya muhindi anaitwa abdul rasbanja inachekesha)
5.you must be joking
6.you must be joking too

hizo hapo ndizo ninazozifahamu,ila ni za miaka ya nyuma so sio HD
 
Back
Top Bottom