Kitambo sanaHahahaa! Wakina Emmanuel Kaini na wale wahindi waswahili
Ngoja babu taleeey analifanyia kazi hiloπManagement inatoka wapi miaka ya 70 hukoπ
Na hawatumii majani ya chai wakisema Zina chembechembe za bangi sjui tumbaku ila akili zao Ni zaidi ya wavuta bangi we mtu unaendaje USA bila Visa?Hivi huyu Hellen White ni nabii wa wasabato au ni mbeba maono wao....maana huwa sielewi wasabato misingi yao imesimama wapi hasa. Mafundisho yao mengi ni kutabiri mwisho wa dunia, ingawa wameingia chaka mara kibao, mafundisho kuhusu vyakula najisi, mafundisho kuhusu kwenda kuishi milimani na kula majani wakati wa dhiki kuu, mafundisho kuhusu alama ya mnyama na mpinga kristo na kuhusianisha na kanisa katoliki. Mkuu kama unajua zaidi kuhusu wasabato naomba udadavuzi, please.....
πππ samahani Sana mkuu.Watu Kwa kuforce ugomvi hamjambo,utakuja upopolewe mawe shauri zako!
ππππ
Poa ushapata kwaiyo?Tayari nimeshakuwin kisaikolojia na ndio hicho nilichotaka na kusumbuka kutafuta
Naomba kuzijuaMr bones (leon schuster) kile ni kipaji aise, ana movie kibao za zamani tamu sana
1.There's a Zulu in my stoepNaomba kuzijua