Uchaguzi 2020 Hii Kweli Mashine; 96% Kampeni Hajachoka Mwili Wala Akili

Leo gari la mkaa liko wapi?
Nikikuambia Mimi utadhani nakudanganya. Msikilize mwenyewe mtu wao wanayemuita presidaa! Yaani hadi aibu. Hivi kwa nini Jakaya alitutenda haya jamani huyu mkwere? Yaani kumuita dhaifu kachukia na ndio akafunua chungu cha msosi na kushushia mzigo humohumo tuipate fresh?

Your browser is not able to display this video.
 
Hapana mkuu, kuna mengine sio ya Mola. Kama yale ya kuwasomba kila cheupe ukionacho Kona bar (nasikia hulka hiyo ilikuwepo) si vizuri tumsingizie Mola
Hehee unataka kusemaje?? Umgera wa sida??
 
Duh,, hadi aibu aiseee! Reo narara hapa hapa Karatu!
 
Lissu atashinda kampeni magufuri atashinda uchaguzi Tarehe 28/10/2020
Jambo muhimu ameturejeshea heshima yetu Kama taifa katika demokrasia.amethibitisha vyama vingine haviwezi kufa hata ukinunua viongozi wote wa upinzani.
Heshima Sana kwako LISSU bila kujali matokeo .
 
Jambo muhimu ameturejeshea heshima yetu Kama taifa katika demokrasia.amethibitisha vyama vingine haviwezi kufa hata ukinunua viongozi wote wa upinzani.
Heshima Sana kwako LISSU bila kujali matokeo .
Na Leo ndio anahitimisha [emoji817]% ya kampeni zake kwa mafanikio makubwa sana.
Hakuna mgombea kutoka opposition aliye pata kuifanya jamii ikajiamini namna hii kama Lissu tokea huu mfumo uanze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…