kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Titizo kubwa la simba ni kujiita giant wa league Ya Tanzania na afrika mashariki
Wote mnajua giant ni mmoja tu wa Tanzania na afrika mashariki ambaye ni yanga pekee yake
Ndo timu pekee yenye makombe ya league kuu yetu ndo timu pekee yenye Historia na nchi yetu
Ndo timu pekee yenye mvuto Tanzania
Alafu Simba anataka kujimilikisha ukubwa Kisa tu kamzidi Kaka yake urefu kidogo
Simba wanatakiwa kuomba msamaha kwa yanga Bila Ivo robo final ni yenu kila mwaka
Yanga mwaka kesho wanafika final ya club bingwa savu Hii SMS Mungu atupe uzima tu sote tutaona
Wote mnajua giant ni mmoja tu wa Tanzania na afrika mashariki ambaye ni yanga pekee yake
Ndo timu pekee yenye makombe ya league kuu yetu ndo timu pekee yenye Historia na nchi yetu
Ndo timu pekee yenye mvuto Tanzania
Alafu Simba anataka kujimilikisha ukubwa Kisa tu kamzidi Kaka yake urefu kidogo
Simba wanatakiwa kuomba msamaha kwa yanga Bila Ivo robo final ni yenu kila mwaka
Yanga mwaka kesho wanafika final ya club bingwa savu Hii SMS Mungu atupe uzima tu sote tutaona