Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Nyamesocho

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2023
Posts
487
Reaction score
1,287
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
 
Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,

Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?

Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Midoli na picha kuna tofauti gani,Kama tunapiga marufuku picha za ovyo ovyo kwa nini tuache midoli
 
Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.

Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.

Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.

Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masanamu.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Wacha ushamba wewe. Kama mji umekushinda rudi kwenu Nangurukuru. Yaani hizo "dummies" zinakupandisha nyege?? Halafu unasingizia maadili. Nyie ndiyo wabakaji, sasa unatamani kubaka "dummy" (sanamu).
 
Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.

Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.

Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.

Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masanamu.
🤣🤣🤣🤣 wizo nimecheka mpk nimepaliwa, kumbe sisi tukiweka midoli madukani kuna watu wanadinda 😂😂😂
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Naona Dkt. Gwajima D mmemfanya Bibi yenu 🤣🤣
Sasa naona ameshakuwa Waziri wa Midoli..?
Mkuu ni skanka au umechukua Cha wapi??

Sasa unataka gwajima Akemee Midoli kutovalishwa Nguo na maduka Uko serious Kweli??

Yaani waziri asimame atangaze kuwa analaani maduka ambayo hayavalishi Midoli nguo?

Akifanya hivyo Nitamuona Sio waziri Bali binadamu wa Ajabu sana kuwahi kutokea na itabidi Nichore jina lake kwenye kitabu cha kumbukumbu..

Mkuu punguza Stress Maana ninachokiona katika uandishi wako hakika ni Stress
 
Back
Top Bottom