Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

🤣🤣🤣🤣 wizo nimecheka mpk nimepaliwa, kumbe sisi tukiweka midoli madukani kuna watu wanadinda 😂😂😂
😹😹😹😹😹😹😹 kuna midoli ina kisirani unaona kabisa papuchi imevimbaaa na kutuna kama tumbua. Unaachaje kudinda kwa mfano 😋😹
 
Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,

Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?

Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Mzee midoli inakuwa uchi wa mnyama tena ina chuchu za kukuvutia huoni shida hapo? 😄😄
 
Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.

Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.

Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.

Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masan

Huna lolote we nyamkomwe, upwiru tu umekujaa.

Ungeenda Ulaya ukakutana na sanamu zenye mboro naZani ungeandamana kabisa.

Ukienda uRaya unakutana na sanamu zenye miboro konki tena ziko kwenye public spaces.

Wadada wanapata tabu sana kuangalia ile miboro ya masanamu.
Umeongelea wapi mkuu,ulaya,utamaduni wa ulaya si wa Afrika,mfano ulaya mnaweza kunyonyana ndimi lakini Afrika never tofa
 
Ni aina ya ugonjwa wa akili. Binadamu unakuwa na na hisia mpaka kwa masanamu?
Siyo hisia,ukiwa unaambatana na mwanao sokoni tena wa kike halafu ukutane na midoli ipo uchi unadhani utawaza vizuri,hapa tunazungumzia maadili ya kiafrika na watoto wetu wanajifunza nini kutokana na wanachoona?
 
Wacha ushamba wewe. Kama mji umekushinda rudi kwenu Nangurukuru. Yaani hizo "dummies" zinakupandisha nyege?? Halafu unasinguzia maadili. Nyie ndiyo wbakaji, sasa unatamani kubaka "dummy" (sanamu).
Hivi nyie ndo mmeambiwa mnaletewa midoli ya kuoa au siyo nyinyi binadamu? Ili kupunguza matumizi kwa wanawake ambao ni binadamu ? Msijitoe akili bwana
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Hii nilifikiria mda mrefu sana.Na nashangaa wapo viongozi wa dini,lakini hakuna anayekemea kuhusu hili.Hongera sana kulileta hapa.
 
Naona Dkt. Gwajima D mmemfanya Bibi yenu 🤣🤣
Sasa naona ameshakuwa Waziri wa Midoli..?
Mkuu ni skanka au umechukua Cha wapi??

Sasa unataka gwajima Akemee Midoli kutovalishwa Nguo na maduka Uko serious Kweli??

Yaani waziri asimame atangaze kuwa analaani maduka ambayo hayavalishi Midoli nguo?

Akifanya hivyo Nitamuona Sio waziri Bali binadamu wa Ajabu sana kuwahi kutokea na itabidi Nichore jina lake kwenye kitabu cha kumbukumbu..

Mkuu punguza Stress Maana ninachokiona katika uandishi wako hakika ni Stress
itakua hajafuturu mpaka sasa
muchangieni mutapoteza raia bure.
 
for Men
Grate 5 bitter kolas, 5 slices of garlic, a piece of ginger. Put everything in a container to be filled with 1 liter of water to keep cool. Thank me later
 
🤣🤣🤣🤣 wizo nimecheka mpk nimepaliwa, kumbe sisi tukiweka midoli madukani kuna watu wanadinda 😂😂😂
Mkuu kiuhalisia ile midoli unajua ni Kama binadamu hivi,kasoro uhai,sasa kutana na mdori upo uchi na matiti yapo wazi na kiumbo linalingana na binadamu, think twice mkuu
 
Back
Top Bottom