Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Walivyo kua wajinga zaidi baadhi ya midoli wanaishepu vizuri na misambwanda yakwenda.duuh kweli dunia ipo kasi sana yani mtu hadi unatamani midoli unakua kicha box kabisa[emoji847][emoji847]
 
mzee kuna mdoli mmoja umekutamanisha?
 
Hebu weka picha mkuu tuone!
 
Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?
Ushapiga Skanka yako Matata imekusimamisha wima unaanza kuiangalia midoli tofauti hadi midoli inakutoa udenda sasa unaanza kumsumbua Mama wa watu Dkt. Gwajima D kwenye masuala yako binafsi
 
Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,

Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?

Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Hujamuelewa hakika. Ana hoja na ni hoja ya kimaadili kabisa. Haina tofauti na kuweka porno hadharani. Hii ni porno katika umbo la sanamu!
 
Watu mnajifafanya kubeza midoli, mnajisahaulisha pia kuna midoli ya ngono?
 
Anamaanisha kuiweka
Sometimes hata usipoandika uzi mkuu inafaa, sio lazima uandike kila siku,

Kwa hio tunakuwa taifa linaloogopa midoli ? Just midoli? Kwamba sasa kuweka mdoli nje ni kosa ?

Hili taifa sasa litakuwa la kipuuzi,
Nje bila nguo.
 
Njoo Mbezi Mwisho...

Sanamu la kizungu kwa kuwa halina halina kishundu, wanaliongezea kishundu cha matambara ili livutie zaidi...
 
Wanawake wenyewe ndio wanaongoza kujidhalilisha;
Mitaani
Tiktok
Facebook
Telegram
instagram
Badoo
Labda hoja iwe, je tunashindwa kute ngeneza wenyewe hiyo midoli tanzania?lazima kuagiza nje?.
 
Umesema kweli iliyo kweli
 
for Men
Grate 5 bitter kolas, 5 slices of garlic, a piece of ginger. Put everything in a container to be filled with 1 liter of water to keep cool. Thank me later
I can thank you now Chief, only if you can tell me where I can get Bitter Kola in Dar es Salaam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…