Hii mimba jamani, mwenye uelewa..


Kwahiyo damu zikiacha kutoka maana yake haiwezi kuwa ectopic?
 
Inawezekana vile vile hiyo bleeding ilikuwa PID

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwahiyo damu zikiacha kutoka maana yake haiwezi kuwa ectopic?
Damu za ectopic haziwezi kutoka kwa mfumo wa hedhi, huwa zinatoka kidogodogo na huwa nyingi pale mirija inapokuwa imepasuka.
 
Damu za ectopic haziwezi kutoka kwa mfumo wa hedhi, huwa zinatoka kidogodogo na huwa nyingi pale mirija inapokuwa imepasuka.

Sasa soma post yangu ya kwanza halafu soma tena ulichoandika hapa.



Kuhusu mirija kupasuka: kama unasoma kwenye google kuwa mwangalifu. Unajua mirija iko sehemu gani? Yaani mrija upasuke halafu damu zitoke ukeni? HAKUNA kitu kama hicho. Mrija ukipasuka damu inamwagika tumboni na ni emergency inayohitaji kufanyiwa operation haraka sana.

Swali la nyongeza: Je, kutokana na history iliyotolewa na mleta mada unaweza ku rule out ectopic?
 

Mkuu nitonye,unamvunjia bure heshima yake mkuu ZeMarcopolo,kwani amekuwa msaada mkubwa kwetu hapa Jf doctor.
Hizo siasa zenu za u CCM na u CHADEMA mkalumbane jukwaa la siasa tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana vile vile hiyo bleeding ilikuwa PID

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwanini PID itoe damu nyingi kama za hedhi? Microbe gani anayeweza kusababisha PID ya namna hiyo?

Kitu gani kisababishe isimame baada ya siku nne?
 
Bwana Mundu tatizo sio Mimba. ishu ni mwanamke kushika mimba na bado akaingia ktk sku zake. this have been strange to me. siko hapa kulalamikia mimba. niko hapa kushere experience katika hili. Thanks.
This have? Kushare experience? Wewe una experience gani katika hilo? Tueleze. Kama ana mimba basi hiyo siyo yako.
 
Mkuu nitonye,unamvunjia bure heshima yake mkuu ZeMarcopolo,kwani amekuwa msaada mkubwa kwetu hapa Jf doctor.
Hizo siasa zenu za u CCM na u CHADEMA mkalumbane jukwaa la siasa tafadhali.
Tatizo liko pale anaposema kuwa huyo mama anaweza akawa na tatizo la ectopic. Damu ya ectopic ni tofauti na ile ya hedhi na huwa inatoka halafu inakata haipo kwenye mfumo wa hedhi. Labda kuna tatizo lingine. Then dalili za ectopic siyo kutokwa na damu pekee bali mwanamke anaweza
:kuhisi mabega kuuma
:kutapika na kuharisha
:kusikia maumivu wakati wa kukojoa
Halafu anasema kuna uwezekano mimba ikawa imetoka eti kisa mtu kapata hedhi. Na damu ya mimba iliyoharibika huwa na mabongemabonge
 
Last edited by a moderator:

Hiyo blees ya tarehe 10 April ilikuwa kawaida kabisa na normal kama ya miezi mingine ya nyuma au it was just spotting??? yaani matone matone au siku moja kidogo tu? as tunaposema period lazima iwe normal
 

Je, unaweza kurule out ectopic pregnacy kwa kuangalia jinsi damu inavyotoka?

Hizo dalili za ectopic pregnancy sijui umetoa wapi, lakini just so that you know ectopic pregnancy au pregnancy of unknown localization ni topic kubwa na huwezi ku rule out kabla hujafanya vipimo maalum.

Kupata hedhi maana yake ni kwamba damu imetoka. Kama damu kutoka sio dalili ya mimba kutoka, sijui kuna dalili gani nyingine. Labda tusaidie kujua dalili ya mimba kutoka ni nini?
 

jambo usililijua ni usiku wa giza... hii ya mirija kupasuka apart from ectopic pregnancy, mimba kutunga nje ya kizazi, kwenye mirija sijui inaweza sababishwa na nini... mkuu ZeMarcopolo kuna bush wengi sana aisee tuenelee tu kuelimisha pole pole ila wanakuwaga wabishi kweli
 
Last edited by a moderator:
Bwana Mundu tatizo sio Mimba. ishu ni mwanamke kushika mimba na bado akaingia ktk sku zake. this have been strange to me. siko hapa kulalamikia mimba. niko hapa kushere experience katika hili. Thanks.
inatokea mkuu.kitaalamu tunaita Arias -Stella reaction or phenomen.na huwa inatokea wakati yai lililorutubishwa linapandikizwa kwenye nyumba ya uzazi(implantation). sio wanawake wote wanaopata hali hii ila baadhi yao.na damu yake ni kidogo sana.Kama mlipima kwa kutumia planotest/UPT strips, false positive results inaweza kutokea, mfano inapotokea damu au cervical mucus imeingia kwenye mkojo.Pia abortions whether uterine abortion au tubal abortion au any early miscarriage yaweza kuonyesha positive results.Vuta muda halafu apime tena, au afanye pelvic scan(sonography) kuthibitisha kama kweli ni mjamzito.
 
Unaambiwa kaenda kupima na mimba kaikuta sasa tunabishania nini labda kama ana tatizo lingine. Kumbuka tunaongelea matokeo tuliyopatiwa na huyo mdau sio mabishano ya nani anajua nini. Then naomba unipe dalili za ectopic then aulizwe huyo kama ana dalili moja wapo.
 
nafikiri tuanze kutoa ushauri kwa ku-PM wahusika.
 

Umejiuliza alipima kwa kutumia method gani? What are limitations of that method.
 

ZeMarcopolo ametoa sababu mbili za huyo mama kutokwa na hedhi, mosi huenda mimba ikawa imetoka pili anaweza akawa na ectopic kitu ambacho sio kweli. Mama mkwe hujambo lakini
 
Last edited by a moderator:
Umejiuliza alipima kwa kutumia method gani? What are limitations of that method.
Huwezi kucomplicate kiasi hicho hadi unasema eti umeulizia kipimo hata Dar es salaam hakuna. Mbona unakuwa mwongo wewe kwani utrasound hawezi kupimia?
 
Mweee.....pamoja na yote..... nitonye na ZeMarcopolo.....asanteni.......nimejifunza kitu kutoka kwenye sebene lenu.......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…