Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Habarin jamvini... Naomba experience na utaalam wenu kuhusu hii mimba.
-Tarehe 21march,2013 nilikutana naye kimwili (bila kinga)
-Tarehe 10 April, 2013 akaingia bleed kama kawaida.
-Siku chache baada ya bleed kukata (ilimchukua siku 4 na ndo kawaida kwake) akaanza kuhisi dalili za ujauzito..nikamshauri akapime.
-Jana April 17 amepima na majibu yanaonyesha ni mjamzito.
katika experience yangu ya haya mambo hiki ni kitu kigeni kwangu.
NB: MHUSIKA NI MKE WANGU HALALI WA NDOA NA HII NI MIMBA YAKE YA KWANZA.
-Tarehe 21march,2013 nilikutana naye kimwili (bila kinga)
-Tarehe 10 April, 2013 akaingia bleed kama kawaida.
-Siku chache baada ya bleed kukata (ilimchukua siku 4 na ndo kawaida kwake) akaanza kuhisi dalili za ujauzito..nikamshauri akapime.
-Jana April 17 amepima na majibu yanaonyesha ni mjamzito.
katika experience yangu ya haya mambo hiki ni kitu kigeni kwangu.
NB: MHUSIKA NI MKE WANGU HALALI WA NDOA NA HII NI MIMBA YAKE YA KWANZA.