Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Bia za kitonga kachanganya na nyagiii...Mi mwenyewe najiulizaga sana ile INAMA wanaipendea nini wabongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bia za kitonga kachanganya na nyagiii...Mi mwenyewe najiulizaga sana ile INAMA wanaipendea nini wabongo
Unamfananisha msanii alosaini Global deal na sony the biggest label worldwide na hao watoto mzee?..punguza mahaba sheikhNiliyemfananisha mafanikio na hao madogo ni Ali Kiba, they've surpassed him by now kwa fame na kipato.
Si nzuriMi mwenyewe najiulizaga sana ile INAMA wanaipendea nini wabongo
Chacun pOur soi Ushasikiliza hii kitu mtoa mada
Kila nikiisikiliza kolabo ya Diamond na Fally Ipupa(INAMA) najikuta nafurahia midundo tu na siyo uimbaji wa bwana Nassib Abdul. Najua ni vyema kubadilika lakini wakati mwingine tuangalie na kubadilika kwetu.
Mimi nadhani hii mirindimo ya kikongo kwa wabongofleva wangemuachia tu mzee wa Dushelele na Mvumo wa radi Ali Kiba huwa hakosei nb sikiza naonewa ya mapacha watatu FT Ali Kiba.
Alikiba hajasaini na Sonny ila Rock star ndio imesaini na Sonny kusimamia mauzo ya kazi za Alikiba huko majuu.Unamfananisha msanii alosaini Global deal na sony the biggest label worldwide na hao watoto mzee?..punguza mahaba sheikh