Hii mirindimo ya kikongo kwa hapa bongo ni Ali Kiba tu Diamond umefeli..

Niliyemfananisha mafanikio na hao madogo ni Ali Kiba, they've surpassed him by now kwa fame na kipato.
Unamfananisha msanii alosaini Global deal na sony the biggest label worldwide na hao watoto mzee?..punguza mahaba sheikh
 
KibaMia matangazo umelipia??
 
Chuki binafsi diamond ni mzee mkubwa sasa hivi richest musician E.A nzima
 
Unamfananisha msanii alosaini Global deal na sony the biggest label worldwide na hao watoto mzee?..punguza mahaba sheikh
Alikiba hajasaini na Sonny ila Rock star ndio imesaini na Sonny kusimamia mauzo ya kazi za Alikiba huko majuu.

Sasa tatizo kazi kali hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…