Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Ki vipi mkuu?, ebu fafanua kidogoKwa sisi walevi ipo sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki vipi mkuu?, ebu fafanua kidogoKwa sisi walevi ipo sana mkuu
Maendeleo yanatutoa kwenye umojaMaendeleo hayo mkuu
Masawe apewe mbili , zungusha kama tulivyo , mguu wa mbuzi nitalipa mimi,peleka kapu la bia kwa dada mwenye skin nyeupe pale na nk.Ki vipi mkuu?, ebu fafanua kidogo
Huku mikoani, tumeambizana , ukienda kwa ndugu yako dar,..fahamu kuwa hapendi uguse chakula chake....hao watu wa dar ni watu wa aina ya kipekee sana, uchoyo wanasomea chuo na vyeti wanapewa..🚮🚮Njaa na uchoyo vimetawala na kutamalaki miongoni mwa watanganyika.
Ukienda kwa ndugu hasa wa DAR roho zinawafurukuta wanahisi utawamalizia MAUGALI YAO.
MAUGALI yanafichwa uvunguni mpaka mida ya wanga ndo wanayatoa wanaanza kubugia fasta fasta kama wachawi.
Nyama zinafichwa kwenye SOKSI.
Huwa nashangaa mpaka mdomo unabaki wazi.
Cc: Lamomy cocastic Bolotoba Half american Mbaga Jr Extrovert Poor Brain secretarybird Monetary doctor
Wapi huko, au kwa wahadzabe?Mbona bado yapo sana Mkuu, hivi unaweza ukaamini kuwa kuna mahali hapa hapa Tz ikifika saa moja usiku watu wanakuwa wameshalala.
Weee wa wapi? Mimi kwangu wageni wakija nawaambia "ebu tuhahirishe maongezi tuhudumie meza kuu". Hapo vyuku, misosi hatari! 😁😍😛Maisha ya zamani ilikuwa raha tupu:-Nyakati hizi huwezi kupata hizi kauli.
''Ingia bandani kamata kuku wawili tuchinje'' ''Ingia shambani vunja mahindi tuje tuchome'' ''Chemsha kahawa hapo jikoni ulete tunywe huku ukinihabarisha habari za huko nyumbani'' ''Hadithi hii inatufundisha nini wajukuu zangu?''
ubaya ubwelaHatucheki na wowote