Hii Mitandao ya Jamii ina mambo!

Wapo hao.
Tuliwahi kusimuliwa na jamaa mmoja tukiwa chuoni kuwa alikuwa anawasiliana na jamaa (mwanaume) kwa text sms, akawa hadi anatumiwa vocha! mara zote akiwa anapigiwa simu hapokei kwa visingizio kibao!
Tatizo ni tamaa, ujue hawa wanawake huwezi kuwamaliza hata ufanyeje,dawa ni kuridhika tu kwenye catchment area yako baaas!
 


Hahahhahahahhahaahhaahahaaaaaa.................duuhh, duniani kuna mambo.
 
Mjini shule!
Mwambie aendelee tu kumtumia hizo hela labda anaweza kumpata siku moja
amkameruni!


Hahahahhahahahahahahahaaaaaa..........Khaaaaa!
 
Internet dating niya kupeana faraja tu,nakupenda dear and al that kama ukiwa hauna mpenzi.au hujampata,lakini ndoa?..sijui.jaribuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…