Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 517
Wapo hao.
Tuliwahi kusimuliwa na jamaa mmoja tukiwa chuoni kuwa alikuwa anawasiliana na jamaa (mwanaume) kwa text sms, akawa hadi anatumiwa vocha! mara zote akiwa anapigiwa simu hapokei kwa visingizio kibao!
Tatizo ni tamaa, ujue hawa wanawake huwezi kuwamaliza hata ufanyeje,dawa ni kuridhika tu kwenye catchment area yako baaas!
Tuliwahi kusimuliwa na jamaa mmoja tukiwa chuoni kuwa alikuwa anawasiliana na jamaa (mwanaume) kwa text sms, akawa hadi anatumiwa vocha! mara zote akiwa anapigiwa simu hapokei kwa visingizio kibao!
Tatizo ni tamaa, ujue hawa wanawake huwezi kuwamaliza hata ufanyeje,dawa ni kuridhika tu kwenye catchment area yako baaas!