Hii "Modern obsession" ya makalio makubwa imetokea wapi?

1980's na 1990's tulipagawa sana na makalio makubwa. Tuliyaita "wowowo", "tukunyema" na majina mengine ya namna hiyo.
 
Ni suala la enzi,
Makalio makubwa yana ashiria Hips pana, kwa enzi za maendeleo duni ya technolojia wenye hips walikua wakijifungua bila shida.
Kwa sasa ni suala la fashion.

Binafsi sijawahi kuvutiwa nayo
Una heri
 
Ni upepo ambao hupita karibia field zote (elimu,afya,fashion,tech,mahusiano,burudani) kwa kizazi chake & wakati :,field mahusiano" mwanamke mwanya,umbo namba nane,mweupe,miss slim" ...Adult industy haswa ya black USA mfano- all dat azz, Imechangia pakubwa kwa hili la mwanamke tako kubwa,na fashion designer wamepigilia msumali, Wachache wanaotunisha misuli na upepo kama khadja kopa ananivuta shati na kuning'ata sikio "MWANAMKE SKILINI SEVA NA NYONGA,MAKALIO YANAFAATA BAADAYE-top in town..Pigo kubwa au athari huwa kwa wale watu wasiofiti na upepo huo...
 
Nikiona makalio makubwa mi ni peku peku kama MPOTO no mata wati
 
Yalipendwa zamani mpaka mifumo ya mitikisiko ikaitwa singda dodoma.
 
internet na video za porno ndio sababu kubwa. Kila mtu ana access ya internet na kila wanachokiona kwenye internet wanataka kuiga na ndio maana watu wengi wanawataka wanawake zao wawape tigo.
 
This is an African mentality, wazungu hawaendekezi huu ujinga huko kwao.
 
Ndio udhaifu wetu, hats sisi wenyewe hatuna sababu ya maana kwanini tunayapenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…