Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.

Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
 
Hopeless kabisa alafu kesho wanadai Magufuli dikteta,wakati wao wana walazimisha watu wasimpigia kura Zuchu aliye amua kuichagua CCM kama chama chake,ukiuliza "Wasanii wanaijeria wameandamana.....",huku tuandamane kwa upinzani gani,upinzani ambao hauna msimamo.Upinzani ulisha 2015 Mbowe na genge lake walipo chukua hela za Rostam na Lowasa.

Baadae utasikia nchi haina demokrasia,wakati wao wenyewe hawajui nini maana ya demokrasia.
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.

Jichekesheni sana. Ila habari ndiyo hiyo!
 
Zuchu anasema wapinzani watetereke leo anakuja kuomba kura hadi kwa sisi tunaotakiwa kutetereka?. Mimi binafsi tangu wameanza ujinga wao wa kusapoti CCM mwaka huu sijawahi shabikia msanii yoyote mfano nilikuwa namkubali sana Konde kwa kuwa Wasafi wanambeza na Ali kwa sababu hiyohoyo lakini sasa hivi sijali na sitasupport kazi zao tena.
 
Zuchu anasema wapinzani watetereke leo anakuja kuomba kura hadi kwa sisi tunaotakiwa kutetereka?. Mimi binafsi tangu wameanza ujinga wao wa kusapoti CCM mwaka huu sijawahi shabikia msanii yoyote mfano nilikuwa namkubali sana Konde kwa kuwa Wasafi wanambeza na Ali kwa sababu hiyohoyo lakini sasa hivi sijali na sitasupport kazi zao tena.
wahurumie tu hao wasanii wanafanya vile ili kulinda maslahi yao ,usimwone Diamond au alikiba anakata mauno ya Yope jua limewaka saa saba halafu Dodoma siyo kwamba wanapenda ni kwa vile hawana namna ili mambo yao yaende
 
Hayo ndio maneno na mambo yakufanya ili kusapoti juhudi za Lissu, wanatubeza hatuwezi kuandamana, sasa tunaanza na wasanii wasihofu CCM wako wengi watawapigia. Ni bora nimpe kura Davido, Wizkid maana wanajitambua.
Mimi pia nitawapigia kura akina dovido, kuwa msanii au public figure maana yake wewe ni sehemu ya jamiii na unatakiwa kuwa neutral ili kubalance image yako kwenye jamii, sasa unapoonekana kuunga mkono upande fulani ilhali kazi yako inategemea jamii nzima, jamii nayo itakugawa kwa itikadi zao
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Hata walipwe kias gan hawawez kuperform CHADEMA wanatishwa na serikal maana ikiamua kukushusha ni dakika tu unabambikiwa kodi kesi unatupwa lupango mali zqko zina filisiwa lesen unafungiwa
 
Back
Top Bottom