Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Nimepiga kura na wote nimewatosa. Kitu nimekipeleka Nigeria na nilivyo na roho mbaya kwa East Africa nimepeleka Uganda na Kenya. Yani nimemaliza kuwachinja kiroho safi
Umepiga kura ya grammy kweny link gani?[emoji16] Na dem atachukua award yan hamtoamin wazee wa kuitoa ccm...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Umepiga kura ya grammy kweny link gani?[emoji16] Na dem atachukua award yan hamtoamin wazee wa kuitoa ccm...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Tena link kaniwekea huyo huyo Zuchu. Nimewachinja wote. Yani nimepiga Nigeria na kwa East Africa nimeenda Uganda na Kenya. Hawa wasanii wa bongo ambao watu wakipata shida za watawala hawawezi hata kusema nimewachinja kiroho mbaya. Sasa huyo Zuchu tuone kama kuna mnaijeria atakayempigia kura kama sisi tunavyoiga kwa wanaijeria. Bora hata wangemuweka Jide au Ney ningewapigia ila siyo hawa mpaka wa CCM
 
Tena link kaniwekea huyo huyo Zuchu. Nimewachinja wote. Yani nimepiga Nigeria na kwa East Africa nimeenda Uganda na Kenya. Hawa wasanii wa bongo ambao watu wakipata shida za watawala hawawezi hata kusema nimewachinja kiroho mbaya. Sasa huyo Zuchu tuone kama kuna mnaijeria atakayempigia kura kama sisi tunavyoiga kwa wanaijeria. Bora hata wangemuweka Jide au Ney ningewapigia ila siyo hawa mpaka wa CCM
Mkuu zuchu kaweka link wapi? Mbona instagram haipo [emoji3]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Nilichogundua ule wimbo wa ZUCHU wa Tanzania ya Sasa ulikuwa mzuri Sana shida wapinzani ulikuwa unawaudhi lakn wanaupenda ndio maana kwenye hii kampeni isiyokuwa na kichwa imebase Sana kwa ZUCHU pekee as if ndie msanii pekee anajihusisha na ccm
 
Huu ndio ujinga wa baadhi ya watu,nyimbo za hao hao wasanii wanapakua bure ila leo wanajitia unafki kuna vitu huwezi kumlazimisha mtu kushabikia kwani zamani hao wasanii hawakutumika kwenye kampeni. Ukichunguza utagundua ni chuki tu za watu kwenye mafanikio ya mtu na kujifanya wana roho safi halafu hawana dhambi.
 
Wewe ndio fala, tatizo hujui hata Grammy Awards Winners wanapatikana vipi. Sasa kama link unayo wape sasa wapige kura, sio unaleta link za Instagram. [emoji23][emoji23][emoji23]
Maccm utayajua tu, yana akili makengeza sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nimepiga kura na wote nimewatosa. Kitu nimekipeleka Nigeria na nilivyo na roho mbaya kwa East Africa nimepeleka Uganda na Kenya. Yani nimemaliza kuwachinja kiroho safi


Yaani wewe ndio upige kura za Grammy Awards? Mavi yako.
 
No bro, mimi sio CCM wala CHADEMA, sina muda wa kubishana siasa kabisa. Tupo hapa kwenye Grammy Awards, inaelekea wewe uzifahamu vizuri, unarukia gari kwa mbele tu.
Tufanye umeshinda, tangulia kwa mangi nakuja kulipa mkuu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Kwani shida ipo kwa watu wa chadena kuchagua wa kumpigia kura na kumpigia kampeni ?? Hii si kama wao tu wanavyofanya kwa ccm!!
CDM tumeamua kupenda mziki mzuri wa Nigeria, kwanini unaturadhimisha kupenda utopolo ?
 
Kwan ungesema Twitter tu mzee ungepungukiwa nn au ndo mtoto wakike zuchu kashakutibua? [emoji3][emoji3]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Mkuu kiroho safi wasingeingia kwenye ushabiki wa kisiasa na mbaya zaidi chama wanachoshabikia ndicho chenye serikali ambayo mengi maovu yamefanyika kwa miaka mitano dhidi ya binadamu na bado wakakishabikia nakuapia ningewapigia kura kama wasinge kishabikia. Ila walichokionyesha kina Davido kule Nigeria kimenifanya nione hawa wa kwetu malofa. Any way nimeshawachinjilia baharini na roho yangu imefurahi.
 
Mkuu kiroho safi wasingeingia kwenye ushabiki wa kisiasa na mbaya zaidi chama wanachoshabikia ndicho chenye serikali ambayo mengi maovu yamefanyika kwa miaka mitano dhidi ya binadamu na bado wakakishabikia nakuapia ningewapigia kura kama wasinge kishabikia. Ila walichokionyesha kina Davido kule Nigeria kimenifanya nione hawa wa kwetu malofa. Any way nimeshawachinjilia baharini na roho yangu imefurahi.
Sasa itabid ukitoka hapo mkuu uhamie kule kwa kiba na harmonize Mana naona wao pia wanawania Afrima

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom