kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
Umetisha mkuu tusubr matokeo sasa [emoji3]Nimewachinja wote. Yani kila penye msanii wa Taznania nime vote na wote nimewapeleka nyavuni.
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha mkuu tusubr matokeo sasa [emoji3]Nimewachinja wote. Yani kila penye msanii wa Taznania nime vote na wote nimewapeleka nyavuni.
Ndio tumeamua sasa,Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Kumbe na Huku Uko Vizuri,,Alafu utaskia chadema hawategmei wasanii[emoji3]...mim siipend ccm ila kwa hili sio chedema tu..hapa kuna hate ya WCB inatembea..team fulan imetumia chadem kama kichaka tu
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Mzee mim nipo kila kona...nmekuja kuchangamsha domo kidgo na ndugu zangu hapa[emoji3]Kumbe na Huku Uko Vizuri,,
Lete Gcam SM-N960U
Sasa si ukapige kura? Kwani Kuna mtu kakuzuia keh?Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Afrimma 2020 NomineesNimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Afrimma 2020 NomineesWasanii.wa.nigeria.com
aisee kweli elimu ni muhimu, sasa utafaidika na Nini?Weka link tuwapigie nigerians kura, wa bongo watabebwa na tume
sasa public figure gani Hana chama?Mimi pia nitawapigia kura akina dovido, kuwa msanii au public figure maana yake wewe ni sehemu ya jamiii na unatakiwa kuwa neutral ili kubalance image yako kwenye jamii, sasa unapoonekana kuunga mkono upande fulani ilhali kazi yako inategemea jamii nzima, jamii nayo itakugawa kwa itikadi zao
Its my choice to chose who i want, kama wao walivyochagua kuwa upande wa ccm, mkuu kwani unateseka?aisee kweli elimu ni muhimu, sasa utafaidika na Nini?
una uhakika?Hata walipwe kias gan hawawez kuperform CHADEMA wanatishwa na serikal maana ikiamua kukushusha ni dakika tu unabambikiwa kodi kesi unatupwa lupango mali zqko zina filisiwa lesen unafungiwa
ni majinga sanaYani njemba nzima zinaangaika na mtoto mdogo wa kike zuchu [emoji3][emoji16][emoji16]
Mkimalza huko..hamien kwa kiba, harmonize rosa lee,Simba hawa si wpo Afrima? And then tutakua tumefanikiwa kuitoa ccm madarakan
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
siteseki ila mnajisumbua sanaIts my choice to chose who i want, kama wao walivyochagua kuwa upande wa ccm, mkuu kwani unateseka?
Kuwa na chama hakuna anekatazwa lakini pale ambapo unategemea ulaji wako kutoka kwa fans ambao ni wananchi basi inabidi ujiweke neutral ili usiwagawe fans wako, kama ni ushabiki wa siasa kaufanye kwenye boksi la kurasasa public figure gani Hana chama?
Weka link tuwapigie nigerians kura, wa bongo watabebwa na tume
Ndio siasa, ukubaliane tu na matokeositeseki ila mnajisumbua sana
Numbisa usiishie kucheka tu 😂😂😂😂 tia neno lol!