Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Ndio tumeamua sasa,
Tunawadhibu hao wajinga kwa kutusaliti tulowatetea sana ,saivi wanafanya uchawi.
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Sasa si ukapige kura? Kwani Kuna mtu kakuzuia keh?

Wameshauriwa wapigiwe kura na UVCCM au na Magufuli, Sasa hapo Shida iko wapi?
 
Hao ni watu wa timu fulani tu wametumia siasa kama kivuli cha chuki zao binafsi. Hao walikuwa hawampigii kura Diamond Platnumz tokea zamani kwahiyo hata mwaka huu wasipopiga wao haipunguzi kitu maana toka zamani hawana mchango wowote na Diamond alikuwa anashinda tuzo.

Ninachowashauri wawapigie kura hata Wamarekani ila tu wakumbuke kama hawakuwahi kumpigia kura je, kuna tofauti gani na mwaka huu wakiacha? 🤣
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Afrimma 2020 Nominees
 
Mimi pia nitawapigia kura akina dovido, kuwa msanii au public figure maana yake wewe ni sehemu ya jamiii na unatakiwa kuwa neutral ili kubalance image yako kwenye jamii, sasa unapoonekana kuunga mkono upande fulani ilhali kazi yako inategemea jamii nzima, jamii nayo itakugawa kwa itikadi zao
sasa public figure gani Hana chama?
 
sasa public figure gani Hana chama?
Kuwa na chama hakuna anekatazwa lakini pale ambapo unategemea ulaji wako kutoka kwa fans ambao ni wananchi basi inabidi ujiweke neutral ili usiwagawe fans wako, kama ni ushabiki wa siasa kaufanye kwenye boksi la kura

On the other hand ndio maana wachungaji na viongozi wa dini wenye akili na hata wafanyabiashara wenye akili huwa hawajihusishi na siasa ili kuepuka kugawa wateja, waumini nk

Sio kwamba hawana vyama, ila wanaepuka kuharibu biashara zao kwa sababu ya siasa
 
Miaka mingi iliyopita nilitia neno ila mashabiki lia lia wa domo walinijia juu eti wao wanapenda muziki wake tu mengine hayawahusu. Leo nimewaona wamekua wa kwanza kutoa povu daah uchaguzi wa mwaka huu joto sana😂😂😂😂
Numbisa usiishie kucheka tu 😂😂😂😂 tia neno lol!
 
Back
Top Bottom